Huyu askari kwa sasa anasota rupango

Huyu askari kwa sasa anasota rupango

Mkuu km una kitobooooo jua muda wwte unaweza cheuliwa( sikuombei ila ukimfanyia mwenzako undezi yatakukuta)

umetustua kidogo marijali, weka sawa maneno yako... binafsi sinatabia yakufanyia watu undezi japo ukileta za kindezi nakuwaisha namimi... defensive hata Mungu karuhusu labda wale ndugu zetu wa samehe saba mara sabini..
 
Rudia taarifa yako vizuri.
Huyu jamaa amekuwa anazushiwa mambo kibao. Mimi nimepiga naye mzigo chimbo moja alipokuwa amepelekwa kupumzika/ kufichwa baada ya issue ya Pena. Baada ya hapo aliondoka Bongo!
Nenda gereza la lirungu utamkuta kajaa tele
 
"Nasikia...."
Mkuu acha fix kama huna ushahidi. Labda kama ni mbinu ya kutaka kujua mawili matatu toka kwa wanaomfahamu.
 
Siyo kweli kabisa. Huyu Mwamba Last year alikuwa chimbo moja linalohusiana na mambo ya ndani anakula maisha. Baada ya hapo nadhani alienda zake nje ya Nchi.
Nje ya wapi ? Wakati ana kesi kubwa na RPC , na ma askari karibu 7. Kwa mauaji ya mfanyabiashara na kuchukua pesa ndefu. Mwaka jana mwishoni tu amepanda kizimbani mara kibao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom