Kitenge kitengoniNina mashaka na shughuli ya Kitenge huko kwenye media inawezekana ni state agent
Wakati Hilo tukio linatokea Wala hata hakuwa huko. Kama ameshapanda kizimbani mara kibao weka ushahidi hapa!Yupo ngome anabebeshwa mtondoo tu
Mwamba kashikiliwa tangu mwaka jana.Siyo kweli kabisa. Huyu Mwamba Last year alikuwa chimbo moja linalohusiana na mambo ya ndani anakula maisha. Baada ya hapo nadhani alienda zake nje ya Nchi.
Acha kudanganya.Siyo kweli kabisa. Huyu Mwamba Last year alikuwa chimbo moja linalohusiana na mambo ya ndani anakula maisha. Baada ya hapo nadhani alienda zake nje ya Nchi.
Yaan na Manara ni suti nyeusiiii?? Aaah wee nakataaa.ndio maana alikuwa anamwanbia jamaa "utaharibu wewe" jamaa ikabidi amcheki akagundua huyu atakuwa mwenzetu.
Kitenge, Eng Hersi, Manara, Mwana FA nk wanaenjoy hela za walipa kodi tu.
Yaan na Manara ni suti nyeusiiii?? Aaah wee nakataaa.
Acha umbeya, si ulitaje sasa? Chimbo chimbo kichwa kama chimbo!Siyo kweli kabisa. Huyu Mwamba Last year alikuwa chimbo moja linalohusiana na mambo ya ndani anakula maisha. Baada ya hapo nadhani alienda zake nje ya Nchi.
Napelekwajee kwani wima wima hivyoo, ndo kwanzaaa natandika jamvi nilalee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu naona umekataa kupelekwa mbiombio
😂😂😂😂😂Kama umeniona mwanangu!Acha umbeya, si ulitaje sasa? Chimbo chimbo kichwa kama chimbo!
Mimi mwenyewe nilisikià yupo nje ya nchi,kikazi.Siyo kweli kabisa. Huyu Mwamba Last year alikuwa chimbo moja linalohusiana na mambo ya ndani anakula maisha. Baada ya hapo nadhani alienda zake nje ya Nchi.
Ndiyo unalijua leo hilo?Nina mashaka na shughuli ya Kitenge huko kwenye media inawezekana ni state agent