Limtoke pepo la mauaji na utekaji watuWajameni hiyo picha nimeikuta kwenye ukurasa wa EAT wanamuonyesha akiombewa na wachungaji lukuki sijui anahitaji nini huyo kiumbeView attachment 1042108
In God we trust
Mama Keagan naona umekuja ukiwa mtupu kabisa kumtetea Mr wako..Anaombewa ili mashetani kama nyinyi msimdhuru! Si unajua mmeguswa kwenye ulaji wenu. Upo mzee Kangomba!!
kila movie ya kinaijeria pale mtu kama ameua mtu au watu,naonaga tubu yake lazima aseme ukweli wa ubaya wake mbele ya familia ya wafiwa,na wanajamii ndo anasamehewa na kuja kufa akiwa na amani..Ibada zingine au ata kwenda batizwa mto Yodan,au kuombewa na Pope au shekhe mkuu ni just drama and time waste