Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,908
nasikia eti ana pepo linaitwa "ziraili mla roho za watu"!Wajameni hiyo picha nimeikuta kwenye ukurasa wa EAT wanamuonyesha akiombewa na wachungaji lukuki sijui anahitaji nini huyo kiumbeView attachment 1042108
In God we trust
Ndo tatzo alipatalo mola anaeombewa mwingine aliekwepo mwingineSasa hapo baraka zitaenda kwa nani? DAUD BASHITE au PAUL MAKONDA
PICHA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akifanyiwa maombi maalum kwa ajili ya kuimarisha ndoa yake.
View attachment 1042274
Hahahahaaa! Sikusikii vizuri mkuu.Ongeza sauti.Sasa hapo baraka zitaenda kwa nani? DAUD BASHITE au PAUL MAKONDA
PICHA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akifanyiwa maombi maalum kwa ajili ya kuimarisha ndoa yake.
View attachment 1042274
Astaghifilullah!Hatari kubwa hii!Ndoa yahitaji ushababi sheikh.... Ndoa sio kutunishatunisha tu mahipsi
Huyu muhindi hapo anawaza sadaka tu.PICHA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akifanyiwa maombi maalum kwa ajili ya kuimarisha ndoa yake.
View attachment 1042274
mmmmmmhNiepushie MUNGU Nipite bila kulopoka