mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,078
alafu kwa taarifa yenu, maombi ni kila muda na kila wakati mana hatujui siku wala saa lolote linaweza kutokea, ole wake yule ajionae amesimama ajiangalia asije akaanguka, shetani yuko kazini kila sekunda, alafu unaliza kwanini mtu anaombewa kila siku?
wewe na yeye nani amezungukwa na mashetani?Mashetani yamemzunguka
In God we trust
naanza na wewe mwenye chuki nae, alafu unaandika in God we trust, Mungu haitaji wenye chuki na visasi kama weweNikuulize wewe mwenye uchungu naye
In God we trust