Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha

Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya Kiarabu.

Nnadiriki kusema leo hii, ili uongee na kuandika Kiswahili fasaha inabidi ujuwe Kiarabu. Bila hivyo utaboronga tu.

Na kama huna ustaarabu basi Kiswahili chako hakitakuwa fasaha.

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?
Heee! wamekudanganya mkuu. eti mataifa ya kiarabu? hicho kiarabu ni Kigiriki, kilicho changanyika na Lugha za Kifonesia. hakuna Taifa la Kiarabu Duniani. hayo mataifa ya kiarabu unayo yaona leo ni wajukuu wa Magriki tu waliochanganya damu na wanawake Watumwa walio bakwa. wanaume hawakuzalisha walihasiwa.

Usiwasifusifu sana wale hawatakaa kukupenda katu? wanakuona kafir mtumwa tu. ungesema hivi ushenzi East Africa umechangiwa na hawa Magiriki.

Ni kweli ili uwe mstaarabu ktk Dunia ya waarabu fake, sharti uwasifu, uwe kibaraka mpole, usiwaponde kwa matendo yao mabaya, ya ubaguzi na udhalili juu ya watumwa, zaidi pia na kukariri lafudhi ya Lugha zao.yaani nachekaga mpaka basi, jitu jeusi tiii linaongea lafudhi ya kiarabu! mpaka leo ndo waswahili wanavopakwa mafuta kwenye mgongo wa chupa

Kiswahili kinatokana na Lugha za kibantu barani kote.kwisha! kiarabu kimeingia ingia tu ajili ya shughuli za biashara za pembe, dhahabu, utumwa,nk, tena hakuna utumwa mbaya Duniani wa kudhalilisha utu. kama uliowahi fanywa na hawa Wagiriki, wanaojiita Waarabu siku ukiujua ukweli kuhusu hii kabila utalia bila machozi.
 
Heee! wamekudanganya mkuu. eti mataifa ya kiarabu? hicho kiarabu ni Kigiriki, kilicho changanyika na Lugha za Kifonesia. hakuna Taifa la Kiarabu Duniani. hayo mataifa ya kiarabu unayo yaona leo ni wajukuu wa Magriki tu waliochanganya damu na wanawake Watumwa walio bakwa. wanaume hawakuzalisha walihasiwa.

Usiwasifusifu sana wale hawatakaa kukupenda katu? wanakuona kafir mtumwa tu. ungesema hivi ushenzi East Africa umechangiwa na hawa Magiriki.

Ni kweli ili uwe mstaarabu ktk Dunia ya waarabu fake, sharti uwasifu, uwe kibaraka mpole, usiwaponde kwa matendo yao mabaya, ya ubaguzi na udhalili juu ya watumwa, zaidi pia na kukariri lafudhi ya Lugha zao.yaani nachekaga mpaka basi, jitu jeusi tiii linaongea lafudhi ya kiarabu! mpaka leo ndo waswahili wanavopakwa mafuta kwenye mgongo wa chupa

Kiswahili kinatokana na Lugha za kibantu barani kote.kwisha! kiarabu kimeingia ingia tu ajili ya shughuli za biashara za pembe, dhahabu, utumwa,nk, tena hakuna utumwa mbaya Duniani wa kudhalilisha utu. kama uliowahi fanywa na hawa Wagiriki, wanaojiita Waarabu siku ukiujua ukweli kuhusu hii kabila utalia bila machozi.
Unaelewa unachokisoma? Nani kaongelea "taifa la Kiarabu"?
 
Unaelewa unachokisoma? Nani kaongelea "taifa la Kiarabu"?
Ungesema hivi ''nilielewa ulichokiandika?'' siyo km ulivo uliza hapo juu! Mimi naelewa ninachokisoma, zaidi pia ninachokielezea na kukiandika.

Umetaja mabara Africa, Asia, Uropa, hayo mabara ni muunganiko wa mataifa kadhaa ambayo yanakuja na kitu ''Bara moja fulani husika'' hivo mataifa ya Western Asia yana husika na kustawisha kiswahili kwa kupitia ustaarabu wa kiarabu kama ulivotanabaisha katika thread yako. (nimelipinga hili)

Nani kaongelea Taifa la kiarabu ? Jibu ni ''wewe''
kwa sababu umetaja kuwa ufasaha wa kiswahili unatokana na Lugha ya Kiarabu, ambapo hiki kiarabu ni lugha rasmi inayoongelewa kwenye mataifa ya kiarabu.km vile Egypt ya leo,Tunisia, Iraq, Yemen nk, kama haya si mataifa ya kiarabu basi tujuze tuelewe! huo ustaarabu wa kiarabu unaosema ni uarabu wa wapi? au ulimaanisha Ugiriki?

Huwezi kutohoa matumizi ya Lugha yeyote/zozote zile Duniani, bila kuonyesha au kutaja integrated geographical areas. ambapo wewe umeutaja Uarabu ktk thread yako! kama hujui walipo waarabu/Uarabu wa leo kijiogarafia au wametoka maeneo gani, wapi na lini. basi kubali tu. umepata Msaada na faida kubwa. By the way usiwapambe kiviile kwa michango yao hasi kiasi cha kujidhalilisha kama mtu mweusi. hata kama wanakupa Bakshish.
 
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya Kiarabu.

Nnadiriki kusema leo hii, ili uongee na kuandika Kiswahili fasaha inabidi ujuwe Kiarabu. Bila hivyo utaboronga tu.

Na kama huna ustaarabu basi Kiswahili chako hakitakuwa fasaha.

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?
Angalia sasa ndivo walivo kudanganya huko umajununi? Waarabu ni nani? hakuna Waarbu race wa kihivo, hao ni politacal Race, asili yao Magiriki+ Africa, waliiga Lugha za Summerians, Aramaic,Foenike ambao ni wabantu!
 
Nimefatilia mnakasha tangu mwanzo.

Hakika bi FaizaFoxy 'nondo' unazoweka si za kitoto.

Darsa zuri sana, tunastafidi mno.

Usikisie, pata darsa dogo.

Huyo anaitwa Muhammad bin Mussa Al Khwarizmi. Jiulize alipataje jina Muhammad kama alikua hayupo kabla ya Mtume Muhammad?

Kama hiyo haitoshi, jina lake la mwisho linatokana na jimbo lililokuwa linaitwa Khwarizm lililopo katikati ya Asia. Waturki wanadai ni Mturki kwani asili ya Wakhwarzm ni Waturki.

Waajemi wanadai ni Majemi kwa kuwa wanasai kuqa Baghdad pia ni ajemi.

Amezaliwa, kuishi na kufanya kazi zake Baghdad. Badhdad ni mji wa Waarabu.

Alikuwepo mwaka 780 mpaka 850 AD.

Hiyo ni miaka 200 baada ya kipenzi chetu mtume Muhammad Salla Allahu alayhi wasalaam.

Huwa sikisii...

Nikupe mwengine?
 
Nakushauri tu hiyo ni taaluma ya watu, kwa ufupi lugha za kibantu zimechangia asilimia 70 katika lugha ya kiswahili, kiarabu mchango wake Ni asilimia 30, hivyo kiswahili si kiarabu na wala hahitaji kujua kiarabu ili ufahamu kiswahili! Rejea historia ya lugha ya kiswahili na lahaja.
 
Tazama uliyoyaandika, maneno mangapi hapo👇🏾 yanatokana na Kiarabu?
Nakushauri tu hiyo ni taaluma ya watu, kwa ufupi lugha za kibantu zimechangia asilimia 70 katika lugha ya kiswahili, kiarabu mchango wake Ni asilimia 30, hivyo kiswahili si kiarabu na wala hahitaji kujua kiarabu ili ufahamu kiswahili! Rejea historia ya lugha ya kiswahili na lahaja.
 
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya Kiarabu.

Nadiriki kusema leo hii, ili uongee na kuandika Kiswahili fasaha inabidi ujuwe Kiarabu. Bila hivyo utaboronga tu.

Na kama huna ustaarabu basi Kiswahili chako hakitakuwa fasaha.

Je, unajuwa maana ya "ustaarabu"?

Tenga muda wako, kasome maana ya lugha, asili ya lugha, kazi ya lugha na vile lugha inatofautiana toka jamii moja hadi nyingine ndipo utajua maana ya “lugha fasaha”.

Lugha fasaha ni dhana inayo changiwa na misingi ya lugha husika na si kutoka kwenye lugha ambayo umetohoa maneno, kwa hiyo si sahihi kusema eti ‘huwezi kuongea/kuandika lugha fasaha ya kiswahili’ hadi ujue kiarabu, hiyo ni fikra ya kitumwa inayo kutawala akili yako.

Kiingereza chenyewe ambacho ni “lingua franca” (widely spoken) kwenye zama hizi kimekopa maneno mengi toka kwa lugha mbalimbali na bado kina “english grammar” ambapo humo utakutana na syntax, phonology, morphology etc na ndipo mtu husemwa anaongea/anaandika kiingereza fasaha, hii haina tofauti na kiswahili na lugha zingine pia.

Kama wewe huwezi, usijumuishe na wengine kuwa haiwezekani.

By the way, kauli ya “huko shule mlienda kusomea ujinga” nimenukuu ‘kauli yako’ maarufu katika kukosoa watu lugha.

Kama huu uzi ungekuwa na mantiki kwako mwenyewe usingetumia nukuu hiyo kukosoa watu, kwa hiyo usijaribu kuniaminisha kile ambacho hata we hukiamini.
 
Tenga muda wako, kasome maana ya lugha, asili ya lugha, kazi ya lugha na vile lugha inatofautiana toka jamii moja hadi nyingine ndipo utajua maana ya “lugha fasaha”.

Lugha fasaha ni dhana inayo changiwa na misingi ya lugha husika na si kutoka kwenye lugha ambayo umetohoa maneno, kwa hiyo si sahihi kusema eti ‘huwezi kuongea/kuandika lugha fasaha ya kiswahili’ hadi ujue kiarabu, hiyo ni fikra ya kitumwa inayo kutawala akili yako.

Kiingereza chenyewe ambacho ni “lingua franca” (widely spoken) kwenye zama hizi kimekopa maneno mengi toka kwa lugha mbalimbali na bado kina “english grammar” ambapo humo utakutana na syntax, phonology, morphology etc na ndipo mtu husemwa anaongea/anaandika kiingereza fasaha, hii haina tofauti na kiswahili na lugha zingine pia.

Kama wewe huwezi, usijumuishe na wengine kuwa haiwezekani.

By the way, kauli ya “huko shule mlienda kusomea ujinga” nimenukuu ‘kauli yako’ maarufu katika kukosoa watu lugha.

Kama huu uzi ungekuwa na mantiki kwako mwenyewe usingetumia nukuu hiyo kukosoa watu, kwa hiyo usijaribu kuniaminisha kile ambacho hata we hukiamini.
Porojo ndefu haikusaidii. Soma mada upambane nayo.
 
FaizaFoxy, miongoni mwa maprofesa nguli wa Kiswahili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pengine ni wawili tu ninaowafahamu ambao wanafahamu Kiarabu cha kubabia: M. Mulokozi na Abduli Hamisi Mtajuka... Wengine wote wamesoma tu mahusiano kati ya lugha hizi mbili.

Ziada ni kuwa, zipo lahaja za Kiswahili ambazo hazina maingiliano kabisa na Kiarabu, kama vile Kimakunduchi na Kingwana kinachosemwa Kongo Mashariki.

Uhusiano wa kulazimisha kati ya Kiarabu na Kibantu unapingwa kwa kuwa sio Waarabu wote wanaweza kusikia walau msamiati mdogo wa Kiswahili, na kinyume chake vivyo hivyo.

NB: Kiswahili ni Kibantu hasaa!
Kuna Kisaahili fasaha na Kisahili sanufu.

Kiswahili fasaha kinafanyiwa makusudi kuuliwa kwa kujidai kuleta eti Kiswahili sanifu na kutuletea maneno mapya ambayo hayana hata ladha kuyatamka Kiswahili.
 
Back
Top Bottom