imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Juma alitumwa na baba yake kwenda kuweka pesa bank Tsh.1,500,000/=
Alikiwa njiani alavamiwa na kuporwa pesa zote.
Akaenda polisi.
Jumaolisi nimeporwa pesa.
Polis:wapi na ilikuwaje?
Juma:Huwezi amini
polisi: Stop na ondoka haraka kimbia kwenda kwenu.
Alipofika home
juma:baba huwezi amini kilichotokea.
Baba:Nini mwanangu
juma:huwezi amini baba nimepata matatizo.
Baba:Ondoka nenda kamwambie mdogo wako (miaka 2).ataweza amini.
Juma alichanganyikiwa
Alikiwa njiani alavamiwa na kuporwa pesa zote.
Akaenda polisi.
Jumaolisi nimeporwa pesa.
Polis:wapi na ilikuwaje?
Juma:Huwezi amini
polisi: Stop na ondoka haraka kimbia kwenda kwenu.
Alipofika home
juma:baba huwezi amini kilichotokea.
Baba:Nini mwanangu
juma:huwezi amini baba nimepata matatizo.
Baba:Ondoka nenda kamwambie mdogo wako (miaka 2).ataweza amini.
Juma alichanganyikiwa