Huwa unajisikije pale unapokuta na mwana ambaye kaoa, muda wote stori zake kidogo tu anataja mke wake?

VINICIOUS JR

Member
Dec 29, 2022
60
196
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu.

Hivi huu uwa ni ulimbukeni au ni kitu gani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa (legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa.

NB: Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
 
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu. Hivi huu uwa ni ulimbukeni au nikitugani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa(legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa. NB; Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
dalili za kuwa wewe husda ya kijicho inaanza kujionesha sema ujajua nini kinacho kufanya kupelekea husda hiyo
 
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu. Hivi huu uwa ni ulimbukeni au nikitugani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa(legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa. NB; Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
Ndiyo kitu kinacho tawala akili yake akikua ataacha
 
Back
Top Bottom