VINICIOUS JR
Member
- Dec 29, 2022
- 60
- 196
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu.
Hivi huu uwa ni ulimbukeni au ni kitu gani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa (legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa.
NB: Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
Hivi huu uwa ni ulimbukeni au ni kitu gani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa (legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa.
NB: Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.