Ya zimbabwe naijua vizuri ile ya wanafunzi miaka mingi imepitaYaani wewe, sema hujaamua tu kufanya utafiti wa hayo mambo ndani ya bara la Africa ila evidence zipo nyingi tu ukianzia na Zimbabwe. Sikwambii bali nataka uchekeche ubongo wako ili ufunguke kwenye hayo mambo
Sisi waafrika ndiyo ma Aliens wenyewe.
Mnakaa ndani,bar, aliens mtawaona vipi?.. afrika kaskazini huko huona sana
Mbona video kibao sana ndugu yanguNi kama wazungu wanatuchezea akili, unakuta mtu ni profesa wa mambo ya UFO , hizo tafiti kufanyia wapi?!
Kwani umesikia ya ulaya recently?Ya zimbabwe naijua vizuri ile ya wanafunzi miaka mingi imepita
Ndio maana nikasema recently