Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,502
you are right my dear! wamechukizwa na neno kuchapiwa ni siri ya ndani, maana wanaogopa sana hiyo kitu ya kuchapiwa.
kama ni maadili, kuna nyimbo nyingi zipo nje ya maadili, pengine kuliko hata huu
ila pia ukiangalia kwa maisha ya zamani, ni kweli hakukuwa na maugomvi watu hawana mtoto, hayo mambo yalikuwa yanamalizwa kwa kwenda kuchuma dawa kwa mganga tu, tena mume ndio anampeleka mkewe, afu mke na mganga wanaenda chimba dawa wanakaa kama wiki/ mwezi porini wakirudi huko mama mjamzito
Halafu mbaya zaidi kwa kuwa diamond alichapa mke wa mtu, (which l honestly don't approve) so anakuwa kama anawananga hivi.
Lkn as u said, wimbo wafundisha busara ya uvumilivu na usiri in today's dotcom n uswazi language.