Duuh,mbona unashangaza ndugu? Eti wimbo hauelewi ila unavutia kusikiliza. Utavutiwa vipi wakati huelewi chochote?
Naomba nieleweshwe vizuri
- Ni kweli haya maneno walisema wazee wa zamani?
- Huu wimbo una maadili hasa kuimbwa na watoto?
- Ni kweli kuchapiwa ni SIRI ya Ndani? kivipi?
- Wapi mamlaka?
Kuna mdau aiyetangulia ametumia nguvu nyingi sana kuutetea wimbo huo na kutuwekea lyrics zote, lakini hajatufafanulia baadhi ya beti tata za wimbo huo zina maana gani. Hii ni mifano miwili tu:
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Mmh muji musingi Kiuno ukishatendwa ndio byebye
Kwangu mimi huu ni moja ya nyimbo za kijinga nilizo pata kusikia.
Siupendi kabisa na unatia aibu kusikiliza hasa ukiwa na watu wako wa heshima.
Kuna bar fulani tulikuwa tumekaa ukapigwa huu wimbo niliona watu wana angaliana kwa aibu.
Kwa kweli huu wimbo unatia aibu sana kusikiliza.
Duuh,mbona unashangaza ndugu? Eti wimbo hauelewi ila unavutia kusikiliza. Utavutiwa vipi wakati huelewi chochote?
Nami pia nimekuwa nikisikiliza wimbo huo lakini siuelewielewi. Kwa hiyo ukichapiwa ukatunza siri ndio ujanja au?
Huu wimbo ni takataka tu, generally sipendi bongo fleva, ni chache sana zenye maana mengine ni matakataka tu, melody mbovu, message uozo, yani kwa kifupi sifagiliii. lakini mavitu kama haya ndo waswahili wengi hupenda.
Poleni na wale mnaopenda manyimbo kama hayo...