Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,104
Mnajisikiaje wimbo huu unapopigwa, tena kwa sauti kubwa, mkiwa ndani ya daladala?
Mbaya zaidi upo na wife na ulishamuuliza kuhusu yule mpaka rangi.
Mnajisikiaje wimbo huu unapopigwa, tena kwa sauti kubwa, mkiwa ndani ya daladala?
Ngoja nikupe mfano wimbo wa Skelewu wa Davido hauna maana lakin unawavutia watu wengi
kama ulishasikiliza nyimbo za taarabu wewe unaweza kuja na tafsiri yako wenyewe wakaja na tafsiri yao sasa hapa ni bora atafutwe muimbaji atupe tafsir ya huu wimbo
1. NdioNaomba nieleweshwe vizuri
- Ni kweli haya maneno walisema wazee wa zamani?
- Huu wimbo una maadili hasa kuimbwa na watoto?
- Ni kweli kuchapiwa ni SIRI ya Ndani? kivipi?
- Wapi mamlaka?
tujadili kama hivi bial kuonekana kana kwamba tunamzibia riziki, achukue kama changamto kwa sababu najua ame invest sana hadi ukatoka
ni kweli kabisa hakuna anaye mchukia ,lakini nilijiuliza kabla ya kuutoa huu wimbo hakuwapa wenzie kuusikiliza na kutoa maoni?au walimwambia unafaa?
Kupitia huu wimbo huyu jamaa nimegundua huwa afikirii kabisa.
Najiuliza kwanini ajifunzi kwa mwenzie diamond?
ni kweli kabisa hakuna anaye mchukia ,lakini nilijiuliza kabla ya kuutoa huu wimbo hakuwapa wenzie kuusikiliza na kutoa maoni?au walimwambia unafaa?
Kupitia huu wimbo huyu jamaa nimegundua huwa afikirii kabisa.
Najiuliza kwanini ajifunzi kwa mwenzie diamond?
Sasa hapo tumeangalia upande mmoja tu wa shilingi mkuu, msanii binafsi, vp na radio station zinazoupa huo wimbo airtime? Hapa unakuja kugundua kuwa hata hizi zinajiita entertainment/commercial radio pia hawajitambui hata chembe. It is quite a shame kwa kweli...😡😡😡:banghead:
Huu wimbo kwanza mie binafsi huwa siupendi hata kwa kuuwaza tu.
Pili huu wimbo hauna maadili yeyote sema kea vile hii nchi mamlaka zote husika zipo likizo isokuwa na mwisho basi ndio maana hadi sasa bado unapata air time. Yaani kana hakuna wizara na idara zinazojihusisha na hayo mambo na kuyapangilia!
Huu wimbo upigwe ban tu na wenyewe.
Ila badala yake wanakazania magazeti yanayowafumbua watu macho.
Nasema hivi: huu wimbo upigwe ban:thumbdown:
labada uwe kichaa halafu nyimbo nyingi za bongo fleva nyingi ni pumba hazizingatii maadili ya watanzania ndio maana hawawezi kufanya kimataifaNaomba nieleweshwe vizuri
- Ni kweli haya maneno walisema wazee wa zamani?
- Huu wimbo una maadili hasa kuimbwa na watoto?
- Ni kweli kuchapiwa ni SIRI ya Ndani? kivipi?
- Wapi mamlaka?
huenda umwambie ni kuwekewa plasta kwenye nyumba......................
Naomba nieleweshwe vizuri
[/Q9UOTE]
- Ni kweli haya maneno walisema wazee wa zamani?
- Huu wimbo una maadili hasa kuimbwa na watoto?
- Ni kweli kuchapiwa ni SIRI ya Ndani? kivipi?
- Wapi mamlaka?
1. Ndio
2. Inategemea na umri wao.
3. Ni siri ya ndani na ukiitoa UTAZIDI KUCHAPIWA mara 5 zaidi
4
Aisee ....... inaelekea Mkuu we ni MCHAPAJI MZOEFU!