Huu Wimbo wa "Kuchapiwa ni SIRI ya Ndani"

Huu Wimbo wa "Kuchapiwa ni SIRI ya Ndani"

Sielewi ana maana gani kusema mjini msingi kiuno
 
Wanajitoa ufahamu tu.... haohao miongoni mwao kuna waliochapiwa na walinyamaza so wanajishtukia

Exactly, kwanza wao ndio wanaoongoza kwa kukosa uaminifu kwenye ndoa halafu wanaguna wakisikia kuchapiwa! Wakubaliane na reality sasa ili kuepusha kuvunja ndoa.... maaana mmmm! ni hataree!
 
Kwani kuchapiwa siyo mambo ya ndani?

Au ni mambo ya nje?

Na kuchapiwa wewe unakutafsiri vipi?
 
wimbo hauna maadili nimekuwa nikiwasikia watoto wakiimba. kuchapiwa ni siri yandani hapa sijui mtunzi anamaana gani?
 
If anything, hili neno au ujumbe wa "kuchapiwa ni Siri ya ndani" unaweza kupunguza munkari ya watu wanaogundua kwamba wameibiwa wake zao..wasilipize visasi kwa kuua, kujeruhi nk...kaw sababu ni siri ya ndani
 
HAYA MANENO MBELE ZA WAKWE LAZIMA UJIFANYE KIKOHOZ KIMEKUSHIKA ILI YASISIKIKE!

'Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani'

Lakini ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani! ukiona mtu anatangaza kachapiwa jua, ni mwehu huyo!!!!
 
Naona hamna mtu hata mmoja alieongelea swala la kudhalilisha wanawake.. neno 'kuchapa'..ambalo hutumika na wanaume kwa wanawake linaashiria mfumo flani wa kudhalilisha..na ndo maana mara nyingi huambatana na majigambo kuwa nimemchapa ule mschana n.k.. hii ni 2014 tunahitaji mabadiliko jamani..nyimbo kama hizi sio tu zinakera ila pia zinazidi kudhalilisha na kuongeza upenyo wa kuendeleza mfumo dume. Tendo la ndoa ni la watu wawili..kama linafanyika kwa consent,(hakuna anaemuonea mwenzake wana anamchapa, mkaza, mmega and all the other words ambazo wanaume mnatumia) for that mavoko..pamoja na hio beat yako nzuri..neno kuchapa limeuharibu kabisa mwimbo wako kwa maoni yangu.
 
Back
Top Bottom