chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,703
- 22,743
- Thread starter
- #41
'gesti zimejaa songea sababu wenyeji wake ni wazinzi sana'
Basi hapo mwnyewe umefurahii? Maana ndio jibu unalolitaka, tatzo mtu unatembea sehem 1 harafu undhani hakuna kwngne kama hapo,
Nenda makambako, mafinga,moro, dodoma,kyela tunduma ukajionee.
mkuu hayo ni maneno yako, huenda unamaanisha kitu!!