NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,923
- 1,150
Tutajie mitaa mitatu tu yenye gest utitiri kiasi kila baada ya nyumba tatu moja ni gest
matarawe, mfaranyaki, majengo,..........ongezea mkuu!!
matarawe, mfaranyaki, majengo,..........ongezea mkuu!!
Hujaelewa mkuu, amesema mngoni ukumpa hela anafikisha lakini akipewa mwanamke hafiki salama.. Sasa hapo si anamzungumzia mngoni mwanaume..?? kwa hela anzifikisha.. Hajasema huyo mwanamke asiyefika salama ni wa kabila ganianasema ni wangoni mkuu!!
Hujaelewa mkuu, amesema mngoni ukumpa hela anafikisha lakini akipewa mwanamke hafiki salama.. Sasa hapo si anamzungumzia mngoni mwanaume..?? kwa hela anzifikisha.. Hajasema huyo mwanamke asiyefika salama ni wa kabila gani
mkuu mimi nipo majengo kama unabisha njoo maeneo haya, ukifika nitafute!!
pole sana mkuu, mimi niko tiyari kuthibitisha ninayoyasema wakati wowote!!
Kama ni hivyo acha ubishi,.
okay nikuulize majengo kuna gest ngapi? Zinafika 20? Kama hazifiki, je hizo ni nyingi kiasi cha kusema hujui wenyeji wanaishi wapi
Wanatombana sana
hahahaaaa huijui matarawe wewe....labda bombambili...matarawe kuna gest mbili tu
umeongea point na ndio maana nyingi ziko mfaranyaki na majengo karibu na kituo cha basi.ingekuwa nia ni kufanyia mapenzi zingekuwa hadi mateka huko, makambi ambako hakuna kabisa hzo gestkabla ya kuandika jf unatakiwa kufanya utafiti kidogo
unaijua jeografia ya mkoa wa RUVUMA?
UNAJUA mkoa wa Ruvuma una wilaya ngapi?
na unajua mabasi ya kwenda mikoani hususani Dar yanaanzia wapi?
fikiri zamani hakukuwa na barabara zenye kiwango,so mtu anayetoka DAR anakwenda mbinga au tunduru au nyasa au namtombo lazima alale hapo MAKAO MAKUU YA MKOA SONGEA ndio kesho aanze safari
hiki kitu ndio kimechangia mkoa wa RUVUMA hususani makao makuu ya mkoa songea kuwa na nyumba nyingi za kulala wageni
huko hakuna mambo ya short time
kabla ya kuandika jf unatakiwa kufanya utafiti kidogo
unaijua jeografia ya mkoa wa RUVUMA?
UNAJUA mkoa wa Ruvuma una wilaya ngapi?
na unajua mabasi ya kwenda mikoani hususani Dar yanaanzia wapi?
fikiri zamani hakukuwa na barabara zenye kiwango,so mtu anayetoka DAR anakwenda mbinga au tunduru au nyasa au namtombo lazima alale hapo MAKAO MAKUU YA MKOA SONGEA ndio kesho aanze safari
hiki kitu ndio kimechangia mkoa wa RUVUMA hususani makao makuu ya mkoa songea kuwa na nyumba nyingi za kulala wageni
huko hakuna mambo ya short time
umeongea point na ndio maana nyingi ziko mfaranyaki na majengo karibu na kituo cha basi.ingekuwa nia ni kufanyia mapenzi zingekuwa hadi mateka huko, makambi ambako hakuna kabisa hzo gest
nenda Kyela kwanza,, ndo urudi tena na hii hoja.