Huu Utitiri Wa Gesti Mjini Songea Unaashiria Nini?!!

Huu Utitiri Wa Gesti Mjini Songea Unaashiria Nini?!!

Unasahau kuwa Wilaya za Pembezoni Zote usafiri wa kwenda mikoa mengine unaanzia Songea.!!
 
ni mitaa yote uliyotembelea umekutana na hizo guest house? Maana nijuavyo kwa miji yetu midogo guest house nyingi huwa zinajaa sehemu moja ya mjini. jaribu kufanya tena research kwa kuzunguka mji huo wote na mingine kadhaa then uje na conclusion yako.
 
Ndo shangaa sasa, kwanini ziwe nyingi Songea tu pengine kuliko hata nyumba za kuishi!...

huu ni uongo kabisa, sikilizeni mtoa mada yawezekana ameishi wiki mbili kitongoji cha mfaranyaki ni hapo tu ambapo pana gest nyingi lakini sehemu nyingine hakuna gest, matogoro hakuna gest, makambi hakuna gest, mateka hakuna gest, ruvuma hakuna gest, matarawe zipo mbili tuu, mjimwema zipo chache, mkuzo hakuna, bombambili zipo chache, msamala kuna hotels na sio gest. Gest zipo ila sio nyingi kama unavotaka kuwaaminisha watu nenda morogoro mjini, nenda mji unaitwa mafinga harafu uje ulete mlejesho
 
ni mitaa yote uliyotembelea umekutana na hizo guest house? Maana nijuavyo kwa miji yetu midogo guest house nyingi huwa zinajaa sehemu moja ya mjini. jaribu kufanya tena research kwa kuzunguka mji huo wote na mingine kadhaa then uje na conclusion yako.

hilo hajalifikilia na anaonekana sio mwenyeji wa Songea, gest nyingi ziko MFARANYAKI karibu na kituo cha mabasi na pale ktkati ya mji kidogo ila mitaa ya mingine hakuna gest kabisa mfano matogoro, makambi, ruvuma, mateka, mahenge, msamala, mshangano n.k
 
Mfaranyaki ni funga kazi, nyumba mbili ya tatu gesti na ukifika kama muda huu unaambiwa vyumba vimejaa.
 
Mfaranyaki ni funga kazi, nyumba mbili ya tatu gesti na ukifika kama muda huu unaambiwa vyumba vimejaa.

sehemu nyingine zimepangana gesti tupu, unajiuliza nyumba za wenyeji ziko wapi?

Ni shida mkuu,..
 
ni mitaa yote uliyotembelea umekutana na hizo guest house? Maana nijuavyo kwa miji yetu midogo guest house nyingi huwa zinajaa sehemu moja ya mjini. jaribu kufanya tena research kwa kuzunguka mji huo wote na mingine kadhaa then uje na conclusion yako.

conlusion ya aina gani tena mkuu, unayoitaka?
 
Ndiyo, nipo Songea mwaka wa pili huu sasa,.

'gesti zimejaa songea sababu wenyeji wake ni wazinzi sana'
Basi hapo mwnyewe umefurahii? Maana ndio jibu unalolitaka, tatzo mtu unatembea sehem 1 harafu undhani hakuna kwngne kama hapo,
Nenda makambako, mafinga,moro, dodoma,kyela tunduma ukajionee.
 
Back
Top Bottom