emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,777
- 1,719
Unashangaa nn sasa hapo ukiona ulinzi wa papa mtukufu si ndo utazimia ww...tena sio papa watumoshi kibao tu dunian hasa ma askofu waanzilishi wanaulinzi
Mbwembwe kama zile Za Bashite kuvamia Clous na askari WA makirikiriRaia wa Nchi za ulimwengu wa tatu tuna matatizo sana,wakina Bill Gates hawana hizi mbwembwe kabisa.
Sasa mwizi wa cheti utamlinganisha vp na Dk.Gwajima mtumishi wa Mungu?! Bashite alivamia kama mwizi na huyu Gwajima alitoa taarifa mapema kwamba atawatembelea Clouds kuwapa pole.Makonda alienda na walinzi wake kaambiwa kavamia, Gwajima kaenda na wake wanaonekana wafalme..duniani kuna mamboo
Walikuwa wanamlinda gwajima hawakwenda kuvamia kama nanili yuleLeo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
Mnafanyaga wote maana umeongea kwa uhakika sanambona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Na Mimi lazima niende jumapili!Hiyo siku ya kutua hapa kutua pale jamani nilicheekaaa, itabidi jumapili ijayo niende tu ufufuo na uzima
Unistuage mkuuNa Mimi lazima niende jumapili!
Mnafanyaga wote maana umeongea kwa uhakika sana
Hana kina sudi brown nao wana majeshi hivi ? Na wema na tid?
Ina maana hata Rais anaweza kua ni drag lord? maana naye analindwa sana
Alikuuzia dawa? Acha wivu kapewa Na anayemtumikia Hadhi ya Gwajima ni high class anastahili hivyo.
Hiki kichaka cha drug tutakichoma moto sasa.
Haiwezekani mahawara wa Bashite muone Kila mtu anauza ngada.
Hamchoki tu na hizi ngojera? Kama ni drug lord mbona wamemuacha ? Basis atakuwa in drug lord mwenzao ! Ifike mahala muone aibu, MTU wenu sasa yako shingoni.
Tupe ushaidi wa hicho ulichokiandika na sio kuhara tu hapa kama umekula kiporo kilicho chacha.mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.