Ni kweli hata barshite naye analindwa na walinzi waliovaa makirikirimbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Wengine waliokataa katiba wako ukawa sasa hivi, na gwajima alikuwa ndio mshenga wa kuwaleta huko!Pengo alustahiki alicho kipata jwa kwenda kinyume na makubaliano ya maaskofu wa makanisa yote tz, ili tu aineshe maaba yake kwa maccm
Gwajima ni hearthen ,kwa hiyo sishangai.He is not a servant of God.Mtu wa Mungu analindwa na Mungu.Ulinzi anaotumia unaonyesha wazi kwamba hamuamini Mungu.Ni miongoni mwa wale wanaosita sita.Leo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
Nchi yenu ndipo ilipofikia. Na ndo maana hata Bashite kaongezewa ulizi na ndo maana mabaka sasa hatuji bwana Ben yupo wapi na ndo maanaa hata Magufuli analindwa balaaa na ndo maana kila mmoja wetu ailifanikiwa kujenga nyumba kaweka.bonge la ukuta na geti kibwaaaaa madilisha ya chuma
Usijihangaishe na wali ndondoKwenye nchi ipi kama gwajima ni ni muuzaji au ajenti wa unga nani ange mwacha acha kuongea unahokijua kuwa unadanganya wewe.
Hamchoki tu na hizi ngojera? Kama ni drug lord mbona wamemuacha ? Basis atakuwa in drug lord mwenzao ! Ifike mahala muone aibu, MTU wenu sasa yako shingoni.mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Ngwajima ni comedian si kiongozi wa dini.Bashite hana adabu hata kwa viongozi wa dini kwa hiyo ni lazima wajihami.
mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Kiumbe YULEEEEEEEEMimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.
Alikuuzia dawa? Acha wivu kapewa Na anayemtumikia Hadhi ya Gwajima ni high class anastahili hivyo.mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
UmeonaeeHata ww ukiwa NA Pesa utalindwa mchawi Pesa