Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Jana alisepa alivyoulizwa na Kadada Fulani ka Millard Ayo Kama alitoa cheti kilichopo mtandaoni ama Kama kuna cheti cha sifuli kaishia kujiuma uma. Gwajima and co waendelee kunyonya tu walalahoi alioshikilia Oblangata zao na wao kuishia kutembelea mi hummer Mungu anawaona na anawasubiri.☠️

Na zaidi angetuambia ni nchi gani kwa wazungu anakomiliki makanisa 400 ambako wazungu wako chini yake zaidi ya hao anaowashikilia oblongata bongo wasomi kwa wasiosoma maskini kwa matajiri huku yeye akila Neema kwa kiwakamua walalahoi
 
Anahitaji ulinzi sana, bado tunamuhitaji na maadaui wamemsonga kila kona. Yeye kuwa kiongozi wa dini haimfanyi asipewe ulinzi hata Papa anapewa ulinzi
 
Raia wa Nchi za ulimwengu wa tatu tuna matatizo sana,wakina Bill Gates hawana hizi mbwembwe kabisa.
 
Kwani umekatazwa na wewe kutembea na walinzi akili ndogo ni kuliko zote ni kujadili mafanikio ya watu..... kamuulize Papa kwanini antembelea gari la kuzuia bomu japo yeye ni "Baba mtakatifu" means hana hana dhambi na anaongea na Mungu sembuse Msukuma Gwajima kutokea kolomije

Nimeamini ni wivu tu
 
wallah Bashite alikuwa analimezea hilo hummer mate, na ndio lilikuwa kwenye target yake kama alivyochukua magari ya Nas & Tanga Petroleum
 
Hiyo siku ya kutua hapa kutua pale jamani nilicheekaaa, itabidi jumapili ijayo niende tu ufufuo na uzima
tehe tehe tehe wapenda ubuyu wa moto wote wanajaa kwa gwajima, hadi waislamu wanasema eti haina shida Mungu ni mmoja tu, kumbe wafuata ubuyu
 
hushangai papa kutembea ndani ya gari "bomb proof"
Papa ni Rais wa Vatcan, ni askofu Mkuu wa Roma na ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani lenye waamini zaidi ya billion mbili anastahili ulinzi mkubwa ukizingatia Papa John Paul II (sasa mtakatifu) aliwahi kupigwa risasi na magaidi
 
Kiongozi WA dini kuwa kama muimba taarabu mipasho mingi kanisani inaonyesha sembe linamuhsu awadanganye wasio na jicho la pili
 
Gwajima ni hearthen ,kwa hiyo sishangai.He is not a servant of God.Mtu wa Mungu analindwa na Mungu.Ulinzi anaotumia unaonyesha wazi kwamba hamuamini Mungu.Ni miongoni mwa wale wanaosita sita.
Unahukumu kwamba he is not a servant of God kwa issue ya ulinzi tu!!!!!! Huu ni upuuzi wa Hali ya juu. Unataka wasilindwe??? Mbona papa analindwa sana na hata gari yake hailipuliwi na bomu????

Haya maandiko ya kuwa mtumishi wa Mungu asilindwe mnayatoa wapi???
 
Papa ni Rais wa Vatcan, ni askofu Mkuu wa Roma na ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani lenye waamini zaidi ya billion mbili anastahili ulinzi mkubwa ukizingatia Papa John Paul II (sasa mtakatifu) aliwahi kupigwa risasi na magaidi
very poor justification,nchi yenye watu 800!!!!
 
Uzuri wa hii nchi hakuna aneuza ngada ila mtaani ipo inauzwa kila anaeambiwa anauza inaonekana hauzi kwasababu ni mtu mwenye hadhi.
Kwahiyo mnafikiri Ngada inauzwa na malofa mtaani.
Usijefikiri utamkuta drug lord na drug ila punda wake unaweza kuwakamata kwahiyo chakufanya ni kuwaharass watalalamika na watalia Sana ila Watapunguza au kuacha Kwa hofu ya kuwa wanajulikana
I wish watu wote wangekuwa na upeo kama kwako,ila wengi tunahadaika na umbo la nje wakati la ndani ni siri yao
 
Tena huu cha mtoto. Wenzie wanaajiri Navy Seals waliostaafu sembuse hawa Koromije wenzie. Madawa ni biashara ya laana na iliyojaa wasiwasi 24/7 na kifo kiko nje nje. Huyu hata anavyoongea na mamisukule yake kila Jumapili unaweza kuona kabisa jinsi asivyo na amani. Tapeli la karne...na mwisho wake utafika tu! He cannot fool the people all the time...
Only fools are being fooled na Gwajima
 
Back
Top Bottom