joseph ngalai
Member
- Nov 29, 2016
- 22
- 4
Napenda sana kumskiliza, kwan abahatishi
"Nilipofika pale kijijini watu wakajaa kushangaa helicopter basi nikawa natua kila mji ilikusalimia siunajua nilikua sijawatembelea siku nyingi"Gwajima huwa ananifurahishaga sanaa....hasa akianza kuongelea chopa yake
hii hammer yenye spare tyre! itakuwa ya mchinaLeo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
kwa wanaojua mambo ya ulinxzi watakubaliana ana mimi kuwa hapo hakuna ulinzi bali ni maigizo tu ndiyo yanayoe ndeleaLeo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
Sijui nani kakukremisha huyoMtumishi wa Mungu analindwa na Mungu mwenyewe na sio binadamu
papa ndio nani?Kuna wapuuzi wanamfananisha gwajima na papa..gwajima ni sawa na kasisimizi mbele ya papa..mbwembwe zote hzo za ulinzi lakini kwenye foleni tuna nasa wote.
Kwa hiyo unampangia!Raia wa Nchi za ulimwengu wa tatu tuna matatizo sana,wakina Bill Gates hawana hizi mbwembwe kabisa.
Sijakuelewa, nguo?Hizo nguo Tu,hakuna ulinzi hapo!
Makonda hakualikwa, kumbuka kidogoMakonda alienda na walinzi wake kaambiwa kavamia, Gwajima kaenda na wake wanaonekana wafalme..duniani kuna mamboo
Toka lini kipolo kikawa na akirimbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Wewe nae sijui ndio wale wale waliolewa kiporo kilicho chacha.Wewe nani bwana, kama unataka wafate wakwambie
Fa fa fa fa fa.Gwajima huwa ananifurahishaga sanaa....hasa akianza kuongelea chopa yake
Yaani fa fa fa fa fa.Mimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.
Hao watu unawajua? fuatilia ile issue yake na Mbasha ujue hao watu ni kina nani.kwa wanaojua mambo ya ulinxzi watakubaliana ana mimi kuwa hapo hakuna ulinzi bali ni maigizo tu ndiyo yanayoe ndelea
HahahahaaaaaThat's why watanzania wengi hatuendelei!!! Kazi kujadili mafanikio ya watu wengine tu!!! PAMBANA NA HALI YAKO!!!