Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

jorge006-jpg.4203
 
Kwan hao wanalipwa kwa kodi zako???? Ulinze walinzi wanaolipwa kwa kodi zako
 
hapo kwenyewe hujaenda kwenye majukumu yako ya kila siku unavizia watoto waende shule ndio upige kiporo kwanza then ukifika ofisini ni kusinzia tuu nakuchafua hali ya hewa kwa wenzako. nikiangalia comment zako wewe ni miongoni mwa wale waliokuzwa kwa viporo.
Hahaaaaaa naona unajisema mkuu, kwangu kiporo ni chakula cha umbwa tu mkuu!!! Lkn nikashangaa kuona unajiita uporo
 
mkuu mbona uo ulinzi ni wakawaidatu. Hata Mm ninap Mkubwa zaidi.

Ukiwa na Pesa Itendee nafsi yako Mema, kuna Raha sana Kuishi kama Mfalme.

Mwombeni Mungu Awanyooshee mambo Naninyi muonje Mavitu kama hayo.
 
Kiini hapa ni kwamba jamaa kahusisha ulinzi mkubwa na madawa ya kulevya... kwa mantiki yake mtu akiwa na ulinzi mkubwa ni kwamba anajihusisha na madawa ya kulevya. Ndiyo maana nikamuuliza hilo swali ili ajue ulinzi mkubwa hauna uhusiano na madawa ya kulevya, haya ni maswala ya uwezo tu ndo maana hata mitaani kuna mwingine nyumba yake inalindwa na makampuni ya ulinzi, mwingine ameweka masai, mwingine halindi kabisa, hii haimaanishi yule anayelindwa na makampuni ya ulinzi anahusika na madawa ya kulevya kuliko yule anaye lindwa na Masai na pia haimaanishi kwamba yule asiye na walinzi ni msafi kabisa
Nmekuelewa sn
 
Si kweli kwasababu, amekwisha hojiwa na uchunguzi umefanyika imeonekana aliyemtaja hakua mkweli ndiyo maana akaachiwa aendelee na shughuli zake, tusiamini sana habari za mitaani wakati mwingine zinakua za kizushi, kwa mfano kuna habari kwamba JPM ana kitu chake anacho kipenda kutoka kwa bashite, sitaamini mpaka siku warushe video au ushahidi mwingine wa dhahiri ukithibitisha hicho kitu, ila kwasasa nitaendelea tu kuamini jamaa ana mpenda kwa uchapakazi tu.....😀😀😀😀
Mvaa tai uko vzr..
 
Back
Top Bottom