Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Alisema yule ndugu yake hana hata vyeti akiamua anamlipu tu hachukui hata dk 4
 
Kulikuwa na mtikila na kakobe nk nao walikuwa na matambo kama gwajima Leo hakuna hata wa kumkumbuka mungu hataniwi kwa mfano wa gwajima amepandishwa na iko cku atashuka na hayo matambo yataishaga
 
Kulikuwa na mtikila na kakobe nk nao walikuwa na matambo kama gwajima Leo hakuna hata wa kumkumbuka mungu hataniwi kwa mfano wa gwajima amepandishwa na iko cku atashuka na hayo matambo yataishaga
Lakini kwa mungu wa ccm yote yanawezekana
 
umeshasema rais ni tofauti na mchungaji.....we ushawai kumuona pengo na ulinzi kama wake gwajima?.
Kiini hapa ni kwamba jamaa kahusisha ulinzi mkubwa na madawa ya kulevya... kwa mantiki yake mtu akiwa na ulinzi mkubwa ni kwamba anajihusisha na madawa ya kulevya. Ndiyo maana nikamuuliza hilo swali ili ajue ulinzi mkubwa hauna uhusiano na madawa ya kulevya, haya ni maswala ya uwezo tu ndo maana hata mitaani kuna mwingine nyumba yake inalindwa na makampuni ya ulinzi, mwingine ameweka masai, mwingine halindi kabisa, hii haimaanishi yule anayelindwa na makampuni ya ulinzi anahusika na madawa ya kulevya kuliko yule anaye lindwa na Masai na pia haimaanishi kwamba yule asiye na walinzi ni msafi kabisa
 
Kiini hapa ni kwamba jamaa kahusisha ulinzi mkubwa na madawa ya kulevya... kwa mantiki yake mtu akiwa na ulinzi mkubwa ni kwamba anajihusisha na madawa ya kulevya. Ndiyo maana nikamuuliza hilo swali ili ajue ulinzi mkubwa hauna uhusiano na madawa ya kulevya, haya ni maswala ya uwezo tu ndo maana hata mitaani kuna mwingine nyumba yake inalindwa na makampuni ya ulinzi, mwingine ameweka masai, mwingine halindi kabisa, hii haimaanishi yule anayelindwa na makampuni ya ulinzi anahusika na madawa ya kulevya kuliko yule anaye lindwa na Masai na pia haimaanishi kwamba yule asiye na walinzi ni msafi kabisa

basi juwa hivyo baba wako wa kiroho nimuuza ngada.
 
basi juwa hivyo baba wako wa kiroho nimuuza ngada.
Si kweli kwasababu, amekwisha hojiwa na uchunguzi umefanyika imeonekana aliyemtaja hakua mkweli ndiyo maana akaachiwa aendelee na shughuli zake, tusiamini sana habari za mitaani wakati mwingine zinakua za kizushi, kwa mfano kuna habari kwamba JPM ana kitu chake anacho kipenda kutoka kwa bashite, sitaamini mpaka siku warushe video au ushahidi mwingine wa dhahiri ukithibitisha hicho kitu, ila kwasasa nitaendelea tu kuamini jamaa ana mpenda kwa uchapakazi tu.....😀😀😀😀
 
Kiporo nikitu kisicho na thamani ni chakutupwa tu, mahala pake ni jalalani!!!
Go there.....

hapo kwenyewe hujaenda kwenye majukumu yako ya kila siku unavizia watoto waende shule ndio upige kiporo kwanza then ukifika ofisini ni kusinzia tuu nakuchafua hali ya hewa kwa wenzako. nikiangalia comment zako wewe ni miongoni mwa wale waliokuzwa kwa viporo.
 
Hapo hamna askar. Askar tuliopitia jeshi hatukimbii hvo.
 
Back
Top Bottom