Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
tehe tehe tehe haya bwana mzee wa single touch double manifestation kateka watuwanasema eti Mungu ni wetu soote
tehe tehe tehe haya bwana mzee wa single touch double manifestation kateka watuwanasema eti Mungu ni wetu soote
Ina maana hata Rais anaweza kua ni drag lord? maana naye analindwa sanambona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Achilia mbali walinzi wa Gwajima ni private security, papa akija hapa analindwa na vyombo vyetu na vya Italy.hushangai papa kutembea ndani ya gari "bomb proof"
HUMMERHiyo gari ni aina gani?
Hana kina sudi brown nao wana majeshi hivi ? Na wema na tid?mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.








Halaf anamalizia yule bwanaa yaan alipata zeroMimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.
et drug lord c wangemfungulia mashtaka yan hawajui kusoma ata picha hawaioniHamchoki tu na hizi ngojera? Kama ni drug lord mbona wamemuacha ? Basis atakuwa in drug lord mwenzao ! Ifike mahala muone aibu, MTU wenu sasa yako shingoni.
ilo nalo neno hahahaWala msiwe na shaka hao ni waumini wake wameeamua kumlinda mtumishi wao