Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Tena huu cha mtoto. Wenzie wanaajiri Navy Seals waliostaafu sembuse hawa Koromije wenzie. Madawa ni biashara ya laana na iliyojaa wasiwasi 24/7 na kifo kiko nje nje. Huyu hata anavyoongea na mamisukule yake kila Jumapili unaweza kuona kabisa jinsi asivyo na amani. Tapeli la karne...na mwisho wake utafika tu! He cannot fool the people all the time...

si ndo ata mimi nawashangaa hawa jamaa,hao ni wachache sanaa.....mtumishi gani wa mungu unakuwa na walinzi mpaka madhabauni? kama sio laana hiyo.
 
Tena huu cha mtoto. Wenzie wanaajiri Navy Seals waliostaafu sembuse hawa Koromije wenzie. Madawa ni biashara ya laana na iliyojaa wasiwasi 24/7 na kifo kiko nje nje. Huyu hata anavyoongea na mamisukule yake kila Jumapili unaweza kuona kabisa jinsi asivyo na amani. Tapeli la karne...na mwisho wake utafika tu! He cannot fool the people all the time...
Umepotea sana kiongozi
 
Ni wazi Mungu hatoshi kumlinda ndio mana hajamtegemea asilimi zote
 
Tupe ushaidi wa hicho ulichokiandika na sio kuhara tu hapa kama umekula kiporo kilicho chacha.

wewe hapo ukiambiwa utowe ushahidi kuwa gwajima ni mchungaji wa mungu unaweza? au na wewe ni wale wale wakuhara baada ya kula kinyesi cha aliyekula kiporo kilicho chacha?
 
Gwajima anawaambia waumini wake watalindwa na malaika lakini yeye analindwa na body guards
 
wewe hapo ukiambiwa utowe ushahidi kuwa gwajima ni mchungaji wa mungu unaweza? au na wewe ni wale wale wakuhara baada ya kula kinyesi cha aliyekula kiporo kilicho chacha?
Punguani kweli wewe, hivi hata umenielewa nilichoandika kweli wewe?

Nimekwambia kama una ushaidi wa hayo maneno yako unayomshuku Gwajima kuwa ni drug Lord tunaomba utuwekee hapa na sio kuleta porojo, sasa na wewe unaanza kuniuliza vitu vya ajabu ambavyo havihusiani na nilichokiandika awali.

Kwani ni wapi ambapo mimi nimebisha au nimekubali kuwa Gwajima ni mchungaji wa Mungu? Sasa uhitaji wa mimi kukupa ushaidi unatoka wapi!?
 
Punguani kweli wewe, hivi hata umenielewa nilichoandika kweli wewe?

Nimekwambia kama una ushaidi wa hayo maneno yako unayomshuku Gwajima kuwa ni drug Lord tunaomba utuwekee hapa na sio kuleta porojo, sasa na wewe unaanza kuniuliza vitu vya ajabu ambavyo havihusiani na nilichokiandika awali.

Kwani ni wapi ambapo mimi nimebisha au nimekubali kuwa Gwajima ni mchungaji wa Mungu? Sasa uhitaji wa mimi kukupa ushaidi unatoka wapi!?
Wewe nani bwana, kama unataka wafate wakwambie
 
Back
Top Bottom