MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Bora alindwe tu! BASHITE ni mtu mkatili!
Papa sio kiongozi Wa kidini tu ni kiongozi Wa Nchi na nikiongozi wa kanisa. Yeye nikiongozi wa nchi ya Vatican na hata anapokuja Tanzania au nchi yoyote lazima pia rais wa nchi ahusike kwenye mwaliko.hushangai papa kutembea ndani ya gari "bomb proof"
tafuta hii kitu the council of nicea,325 ADPapa sio kiongozi Wa kidini tu ni kiongozi Wa Nchi na nikiongozi wa kanisa. Yeye nikiongozi wa nchi ya Vatican na hata anapokuja Tanzania au nchi yoyote lazima pia rais wa nchi ahusike kwenye mwaliko.
Sasa Gwajima anafanana na akina askofu Ngalalekumtwa wa jimbo katoliki la Iringa yeye nikiongozi wa Kanisa tu huwezi kumkuta na ulinzi wala itifaki za kiserikali yeye ni raisi wa TEC hivyo huyo ndo anafanana na Gwajima huwezi kumfananisha Gwajima na papa.
Gwajima hata akienda USA Tramp hawezi kujua Kama kuna mtu kaingia USA. ila Papa akitua nchi yoyote duniani ulinzi wote unahamia kwakwe ndio kiongozi wa nchi Anaelindwa zaidi na ndie aneongoza Nchi ndogo zaidi huku akiongoza waumini wengi zaidi duniani.
Nakusihi usimfananishe kiongozi wa nchi na kiongozi Wa Kanisa duniani lenye waumini Wengi zaidi sio 70000 ni bilioni na zaidi.
Kauli ya Papa inaweza kutumika duniani kote sio kauli ya Gwajima inaishia Tandale.
Papa anaweza kumpigia rais yeyote duniani na kumpa ushauri anaweza kushawishi ila Gwajima anaweza kumshauri Nani Hana hata namba ya Zuma tu wala akimpigia Zuma hawezi pokea.
Nakusihi usifananishe kizibo cha Maji na bahari nakuomba Tafadhali Muda mwingine fikiri Sana.
Jua pia huenda Magufuri anamjua papa ila Papa hamjui Magufuli sembuse Gwajima.
Search mazishi ya papa John Paul ni viongozi gani walihudhuria ukimaliza tafuta kutawazwa papa yeyote ni viongozi Gani walihudhuria.
Utapata jibu Yule ni kiongozi wa kisiasa na kidini halafu nakusihi zaidi usije wafananisha hao watu wawili hadharani watu watacheka Sana uwezo wako Wa kufananisha mambo
Mi mwenyewe sinaga mbavu,yani akisema "bashite" nachekaaMimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.
Hujielewi wewe.mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Huyo jamaa alikuwa anatype wakati anakata gogo. Harufu imemlevya msameheKwenye nchi ipi kama gwajima ni ni muuzaji au ajenti wa unga nani ange mwacha acha kuongea unahokijua kuwa unadanganya wewe.
Hahahaha thank you!mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
ulinzi wa papa roman catholiki ukoje????
Tena huu cha mtoto. Wenzie wanaajiri Navy Seals waliostaafu sembuse hawa Koromije wenzie. Madawa ni biashara ya laana na iliyojaa wasiwasi 24/7 na kifo kiko nje nje. Huyu hata anavyoongea na mamisukule yake kila Jumapili unaweza kuona kabisa jinsi asivyo na amani. Tapeli la karne...na mwisho wake utafika tu! He cannot fool all the people all the time...mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Pengo alustahiki alicho kipata jwa kwenda kinyume na makubaliano ya maaskofu wa makanisa yote tz, ili tu aineshe maaba yake kwa maccmUkiangalia ile video anamtukana Pengo utacheka ufe!
Huyu Mungu huyu acheni tu!
Gwajima ni muhuni yu flani anaetumia biblia kutapeli watu.
Katapeli na wewe .huwezi endelea kumeabudu yule jambazi mvamia vituo!Ukiangalia ile video anamtukana Pengo utacheka ufe!
Huyu Mungu huyu acheni tu!
Gwajima ni muhuni yu flani anaetumia biblia kutapeli watu.
Papa sio kiongozi Wa kidini tu ni kiongozi Wa Nchi na nikiongozi wa kanisa. Yeye nikiongozi wa nchi ya Vatican na hata anapokuja Tanzania au nchi yoyote lazima pia rais wa nchi ahusike kwenye mwaliko.
Sasa Gwajima anafanana na akina askofu Ngalalekumtwa wa jimbo katoliki la Iringa yeye nikiongozi wa Kanisa tu huwezi kumkuta na ulinzi wala itifaki za kiserikali yeye ni raisi wa TEC hivyo huyo ndo anafanana na Gwajima huwezi kumfananisha Gwajima na papa.
Gwajima hata akienda USA Tramp hawezi kujua Kama kuna mtu kaingia USA. ila Papa akitua nchi yoyote duniani ulinzi wote unahamia kwakwe ndio kiongozi wa nchi Anaelindwa zaidi na ndie aneongoza Nchi ndogo zaidi huku akiongoza waumini wengi zaidi duniani.
Nakusihi usimfananishe kiongozi wa nchi na kiongozi Wa Kanisa duniani lenye waumini Wengi zaidi sio 70000 ni bilioni na zaidi.
Kauli ya Papa inaweza kutumika duniani kote sio kauli ya Gwajima inaishia Tandale.
Papa anaweza kumpigia rais yeyote duniani na kumpa ushauri anaweza kushawishi ila Gwajima anaweza kumshauri Nani Hana hata namba ya Zuma tu wala akimpigia Zuma hawezi pokea.
Nakusihi usifananishe kizibo cha Maji na bahari nakuomba Tafadhali Muda mwingine fikiri Sana.
Jua pia huenda Magufuri anamjua papa ila Papa hamjui Magufuli sembuse Gwajima.
Search mazishi ya papa John Paul ni viongozi gani walihudhuria ukimaliza tafuta kutawazwa papa yeyote ni viongozi Gani walihudhuria.
Utapata jibu Yule ni kiongozi wa kisiasa na kidini halafu nakusihi zaidi usije wafananisha hao watu wawili hadharani watu watacheka Sana uwezo wako Wa kufananisha mambo
Mkuu wetu katulisisha hiyo tabiaThat's why watanzania wengi hatuendelei!!! Kazi kujadili mafanikio ya watu wengine tu!!! PAMBANA NA HALI YAKO!!!
Hayo ni maigizo tu!! Alipokamatwa na polisi na kuhojiwa alizimia walinzi wake walikuwa wapi?Leo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
Papa sio kiongozi Wa kidini tu ni kiongozi Wa Nchi na nikiongozi wa kanisa. Yeye nikiongozi wa nchi ya Vatican na hata anapokuja Tanzania au nchi yoyote lazima pia rais wa nchi ahusike kwenye mwaliko.
Sasa Gwajima anafanana na akina askofu Ngalalekumtwa wa jimbo katoliki la Iringa yeye nikiongozi wa Kanisa tu huwezi kumkuta na ulinzi wala itifaki za kiserikali yeye ni raisi wa TEC hivyo huyo ndo anafanana na Gwajima huwezi kumfananisha Gwajima na papa.
Gwajima hata akienda USA Tramp hawezi kujua Kama kuna mtu kaingia USA. ila Papa akitua nchi yoyote duniani ulinzi wote unahamia kwakwe ndio kiongozi wa nchi Anaelindwa zaidi na ndie aneongoza Nchi ndogo zaidi huku akiongoza waumini wengi zaidi duniani.
Nakusihi usimfananishe kiongozi wa nchi na kiongozi Wa Kanisa duniani lenye waumini Wengi zaidi sio 70000 ni bilioni na zaidi.
Kauli ya Papa inaweza kutumika duniani kote sio kauli ya Gwajima inaishia Tandale.
Papa anaweza kumpigia rais yeyote duniani na kumpa ushauri anaweza kushawishi ila Gwajima anaweza kumshauri Nani Hana hata namba ya Zuma tu wala akimpigia Zuma hawezi pokea.
Nakusihi usifananishe kizibo cha Maji na bahari nakuomba Tafadhali Muda mwingine fikiri Sana.
Jua pia huenda Magufuri anamjua papa ila Papa hamjui Magufuli sembuse Gwajima.
Search mazishi ya papa John Paul ni viongozi gani walihudhuria ukimaliza tafuta kutawazwa papa yeyote ni viongozi Gani walihudhuria.
Utapata jibu Yule ni kiongozi wa kisiasa na kidini halafu nakusihi zaidi usije wafananisha hao watu wawili hadharani watu watacheka Sana uwezo wako Wa kufananisha mambo