Kwahiyo tz hakuna wauza tena?Kwenye nchi ipi kama gwajima ni ni muuzaji au ajenti wa unga nani ange mwacha acha kuongea unahokijua kuwa unadanganya wewe.
Mcheki huyo bodyguard wake hapo sikioni mi nilizoea kuona kwenye series tu kumbe hata bongo yapo?

Leo wakati akitinga clouds ameonekana akiwa na ulinzi mkali sana ambao kwa kiongozi Wa dini unatia shakaView attachment 484991
Upo?Mzee wa fact finding
Nipo.. NiambieUpo?
Gwajima huwa ananifurahishaga sanaa....hasa akianza kuongelea chopa yake

Naona mama wa mtoto unatokwa povu.Ameenda kujieleza kuhusu yule mtoto au Clauds kuna misukule!!!
Na wewe anakufurahisha?
Kama huviamini vipimo vya serikali chukua ukampime kwakombona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.