crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Kuna huu ujumbe ambao umekuwa ukizunguka kwenye social media. Please mwenye kutoa clarification
"Habari za jioni wapendwa! Hongereni kwa kazi.Nawasihi madaktari wenzangu tujikinge na hili gonjwa,dalili za wave hii zipo so vague.wagonjwa wengi waliokuwa wamekuja Leo clinic waliokuwa wanalalamika mgongo,kiuno,shingo kuuma na mwili kuuma.hakuna aliyelala Mika kifua,au kukohoa,na nilipofanya rapid test ya Corona ig G na IgM zmekuja positive na chest x-ray inaonyesha features suggestive of viral pneumonia. Tujikinge tujilinde.
BE WARNED "From: A DOCTORS' GROUP KMA
"Habari za jioni wapendwa! Hongereni kwa kazi.Nawasihi madaktari wenzangu tujikinge na hili gonjwa,dalili za wave hii zipo so vague.wagonjwa wengi waliokuwa wamekuja Leo clinic waliokuwa wanalalamika mgongo,kiuno,shingo kuuma na mwili kuuma.hakuna aliyelala Mika kifua,au kukohoa,na nilipofanya rapid test ya Corona ig G na IgM zmekuja positive na chest x-ray inaonyesha features suggestive of viral pneumonia. Tujikinge tujilinde.
BE WARNED "From: A DOCTORS' GROUP KMA