Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Kitabu kiliandikwa miaka 3000 iliyopita lakini inatabiri mambo yanayotokea leo hii... Huwezi kufananisha na utabiri unaosemea wewe uo wa kama odds za kubet..

Mfano kipindi icho hata umeme haukuwepo lakini bibilia ilishazungumzia cashless society ambayo ndio inayoendelea leo hii..

Do your research. People perish for lack of knowledge.
...hivi umewahi fikiria kuwa unachoona kama ni utabiri uliotabiriwa hiyo miaka 3000 iliyopita kama ni just mipango ya watu walioona mbele na wanaitekeleza step by step.
....maake hiyo biblia na Quran kuna watu wanasema ni just project za hao hao wakubwa wa dunia mkuu.
....anyway_from each according to his/her ability to perceive issues.
 
...hivi umewahi fikiria kuwa unachoona kama ni utabiri uliotabiriwa hiyo miaka 3000 iliyopita kama ni just mipango ya watu walioona mbele na wanaitekeleza step by step.
....maake hiyo biblia na Quran kuna watu wanasema ni just project za hao hao wakubwa wa dunia mkuu.
....anyway_from each according to his/her ability to perceive issues.
Wagonjwa wanapona, vipofu wanaona, vilema wanatembea...
Faith comes from hearing and hearing from the word of God. Unless you read the word of God. You can never be convinced. Na kama umekataa kuisoma bibilia basi sina la kusema..
Ila mwisho wa siku kila got litapigwa.. Wengi.. Ata Albert Einstein alihangaika kama wewe ila mwishowe akakubali tu. Na mungu atabaki tu na utukufu wake.. Usipomuabudu wewe atafufua mawe itamuabudu pia. Chaguo ni lako.
 
Wagonjwa wanapona, vipofu wanaona, vilema wanatembea...
Faith comes from hearing and hearing from the word of God. Unless you read the word of God. You can never be convinced. Na kama umekataa kuisoma bibilia basi sina la kusema..
Ila mwisho wa siku kila got litapigwa.. Wengi.. Ata Albert Einstein alihangaika kama wewe ila mwishowe akakubali tu. Na mungu atabaki tu na utukufu wake.. Usipomuabudu wewe atafufua mawe itamuabudu pia. Chaguo ni lako.
Okey sawa mkuu
 
KUNA USEMI HADI LEO WANAAMINI KUWA SIKU MOJA MBINGUNI NI SIKU ELFU MOJA DUNIANI ILA UKIANGALIA DUNIA IMEPITA MIAKA ZAIDI YA BILLIONI OF YEARS HADI PALE WALIPO JUA KUHESABU NA KUANZA MWAKA 1 HADI SASA 2019
BAADHI YA COMMENT ZA HIGH LIGHT

Imani hizi!!
Kuna wakati nakengeuka, if God was do loving, asingeruhusu watu waumie kiasi hiki, duniani watu wanauliza sana.

The wealthiest make only 1℅ of the world's population. Watu 8 duniani wana utajiri ambao unamilikiwa na 3.6 billion poor people. Where is God to make the world "even"?

mwache afe kwa ujinga wake,hatofautiani na jirani yangu alikuwa ni mwathirika wa HIV na akawa anatumia ARV akawa vizuri tu,sijui mpuuzi gani akamdanganya aokoke kwenye kanisa flani linaitwa SILOAM,huko wakamwambia aache dawa YESU atamponya,wee...saiv ana mwezi analiwa na mchwa huko chini ya kaburi,hivi haya makanisa huwaga yanasajiliwa kwa kutumia vigezo gani?
na waumini wao huwaga wana akili gani hadi tushindwe hata kushabihiana?
kifupi kila mlokole huwaga namwona kama ubongo wake una mafuta ya taa..

Mkuu, duniani watu wanaumia sana, maisha magumu, masikini ni wengi sana. Mungu anaruhusu vipi watu wake waumie kiasi hiki, kwa nini asifanye jambo haya yaishe? Ukienda sehemu kama ocean road, muhimbili na mahospitalini ndio utajua kuwa people are really suffering.

Kwa nini Mungu asitihurumie, asitupe ahueni sote tukafurahia maisha, kwa nini only 1% ya wanadamu ndio wana maisha ya kitajiri?

Wapagani kibao wanaishi bomba sana, wewe na mimi tunaosali/ swali kila siku tunaishi terrible lives.

At times you think hizi ni propaganda za mtu mweupe kumteka akili mtu mweusi, wajua sisi tunabeba kila tunaloambiwa, tumekuwa mateka wa watu waeupe.

Hao weupe walioleta ukristo wala hawana time na imani yao.

Kuna mdachi(Dutch) mmoja aliwahi kuniambia, religion is for poor people, even in Netherlands only the poor go to church, there's nothing like Jesus or God. Nilibaki mdomo wazi.


View attachment 781166

Neno "dini" kama lilivyotumika katika karne ya 21 haina tafsiri ya wazi ya ukoloni katika lugha zisizo za Ulaya. Mwanadamu wa kibiblia Daniel Dubuisson anaandika kuwa "kile Magharibi na historia ya dini katika wake wake wamepinga chini ya jina 'dini' ni ... kitu cha pekee kabisa, ambacho kinaweza kuwa sahihi tu na yenyewe na historia yake mwenyewe." Historia ya ushirikiano wa tamaduni nyingine na kikundi cha "dini" kwa hiyo ni mwingiliano wao na wazo ambalo liliendelezwa kwanza katika Ulaya chini ya ushawishi wa Ukristo.


View attachment 781208

Wengi huko makanisani hutumia picha ya Brian Deacon kumhusisha Yesu, that's unacceptable kabisa.

View attachment 781255

ANGALIA HIYO VIDEO HAPO JAMAA ANATUPWA TU AKIMALIZA ANACHUKUA MPUNGA WAKE SAFI



NA WALE WACHAMBUZI WASOMI WAJUZI WA BIBLIA AKINA PAPA WAMETOA HABARI NYINGE UNAWEZA SOMA HAPO

BREAKING NEWS INTERNATIONAL
Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book
abril 2, 2018 Sr. Lobo 3 comentarios bible, pope Francis

Pope Francis has surprised the world today by announcing that The Bible is totally outdated and needs a radical change, so The Bible is officially canceled and it’s announced a meeting between the highest personalities of the church where it will be decided the book that will replace it, its name and its content. Some names are already being considered and the one that has more strength is “Biblia 2000”.

“We can not keep trying to talk our public in a totally new world with a book that has thousands years. We are losing followers and we have to go a step further in the search for the modernization of the church. to rewrite the word of God, even if it is only the Old Testament, in which there are certain passages that it is better not to repeat. ”

The news has fallen like a bomb among the most conservative, who consider this
[4/5, 23:56]

Vitabu vyote vya dini ni uzuishi tu, si Qu'an wala Biblia...vyote ni utata mtupu. Binafsi siviamini hata kidogo kwani vimeandikwa kwa lengo la kuwaabudu wazungu, wayahudi na waarab tu. Ndiyo maana inasemwa history is always written for the victors si wafuasi, wafuasi wanabaki kuwa mabumbuwazi tu.


Kwanza kabla ya yote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA.
Hakika mkuu.
 
Ila zinakaribia kufa,Mimi hujiuliza mbona walokolevhuwaogopa sana waganga wa jadi
 
Mkuu ni kweli Mungu yupo,ukitafuta maana ya dini utakuta kuwa dini ni kama njia ambayo mtu anaitumia kuuona ufalme wa mbinguni,haijalishi kwa namna gani mtu ameipokea kweli au hata iwe kwa wazungu but kama kweli inahusiana na mambo ya kiimani na reality ya mambo hayo basi dini ni muhimu sana
 
wanatuteka kiakili ni sawa na saizi kama usipo fanya wanavyo taka wana sitisha misaada sasa angalia moto wake week tu nchi ina yumba
Ili ueleweke, Ungesema hivii...

"Wanatumia Dini kama kigezo cha kujinufaisha katika Dira Zao".labda hapo ungeeleweka.

Hayo mengine itakuwa ni chuki yako Tu Dhidi ya waarabu na Wazungu inayojidhihirisha kupitia mwavuli wa Kidini.

Inachokifundisha Dini hakiusiani hata robo ya mambo "yao wala Yenu".
 
Mimi sina shida sana na dini maana mimi kama Mkristo dini imeninufaisha na umoja mshikamano na undugu. Mf tunapokutana jumuiyani kwa wakatoliki huwa tunakua na maprofesa madocta na matajiri tumekalia stuli au mabenchi tunasali kitu ambacha kisingetokea kama kusinge kua na jumuiya. Pia tunaingia nyumbani kwa hao matajiri na kujumuika nao sisi maskini kitu ambacho kiaingewezekana kama kusingekua na jumuiya

Ila shida yangu ni hao wenye dini yaani wachungaji maaskofu na mapadre makadnali nk kuna kitu vile naona wanatuficha lakini ninaamini zama hiI hazifichiki chochote wajiandae tuu kujibu hoja au waandae mtaguso mpya wayaweke sawa maana kumekaribia kukucha sasa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
KUNA USEMI HADI LEO WANAAMINI KUWA SIKU MOJA MBINGUNI NI SIKU ELFU MOJA DUNIANI ILA UKIANGALIA DUNIA IMEPITA MIAKA ZAIDI YA BILLIONI OF YEARS HADI PALE WALIPO JUA KUHESABU NA KUANZA MWAKA 1 HADI SASA 2019
BAADHI YA COMMENT ZA HIGH LIGHT

Imani hizi!!
Kuna wakati nakengeuka, if God was do loving, asingeruhusu watu waumie kiasi hiki, duniani watu wanauliza sana.

The wealthiest make only 1℅ of the world's population. Watu 8 duniani wana utajiri ambao unamilikiwa na 3.6 billion poor people. Where is God to make the world "even"?

mwache afe kwa ujinga wake,hatofautiani na jirani yangu alikuwa ni mwathirika wa HIV na akawa anatumia ARV akawa vizuri tu,sijui mpuuzi gani akamdanganya aokoke kwenye kanisa flani linaitwa SILOAM,huko wakamwambia aache dawa YESU atamponya,wee...saiv ana mwezi analiwa na mchwa huko chini ya kaburi,hivi haya makanisa huwaga yanasajiliwa kwa kutumia vigezo gani?
na waumini wao huwaga wana akili gani hadi tushindwe hata kushabihiana?
kifupi kila mlokole huwaga namwona kama ubongo wake una mafuta ya taa..

Mkuu, duniani watu wanaumia sana, maisha magumu, masikini ni wengi sana. Mungu anaruhusu vipi watu wake waumie kiasi hiki, kwa nini asifanye jambo haya yaishe? Ukienda sehemu kama ocean road, muhimbili na mahospitalini ndio utajua kuwa people are really suffering.

Kwa nini Mungu asitihurumie, asitupe ahueni sote tukafurahia maisha, kwa nini only 1% ya wanadamu ndio wana maisha ya kitajiri?

Wapagani kibao wanaishi bomba sana, wewe na mimi tunaosali/ swali kila siku tunaishi terrible lives.

At times you think hizi ni propaganda za mtu mweupe kumteka akili mtu mweusi, wajua sisi tunabeba kila tunaloambiwa, tumekuwa mateka wa watu waeupe.

Hao weupe walioleta ukristo wala hawana time na imani yao.

Kuna mdachi(Dutch) mmoja aliwahi kuniambia, religion is for poor people, even in Netherlands only the poor go to church, there's nothing like Jesus or God. Nilibaki mdomo wazi.


View attachment 781166

Neno "dini" kama lilivyotumika katika karne ya 21 haina tafsiri ya wazi ya ukoloni katika lugha zisizo za Ulaya. Mwanadamu wa kibiblia Daniel Dubuisson anaandika kuwa "kile Magharibi na historia ya dini katika wake wake wamepinga chini ya jina 'dini' ni ... kitu cha pekee kabisa, ambacho kinaweza kuwa sahihi tu na yenyewe na historia yake mwenyewe." Historia ya ushirikiano wa tamaduni nyingine na kikundi cha "dini" kwa hiyo ni mwingiliano wao na wazo ambalo liliendelezwa kwanza katika Ulaya chini ya ushawishi wa Ukristo.


View attachment 781208

Wengi huko makanisani hutumia picha ya Brian Deacon kumhusisha Yesu, that's unacceptable kabisa.

View attachment 781255

ANGALIA HIYO VIDEO HAPO JAMAA ANATUPWA TU AKIMALIZA ANACHUKUA MPUNGA WAKE SAFI



NA WALE WACHAMBUZI WASOMI WAJUZI WA BIBLIA AKINA PAPA WAMETOA HABARI NYINGE UNAWEZA SOMA HAPO

BREAKING NEWS INTERNATIONAL
Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book
abril 2, 2018 Sr. Lobo 3 comentarios bible, pope Francis

Pope Francis has surprised the world today by announcing that The Bible is totally outdated and needs a radical change, so The Bible is officially canceled and it’s announced a meeting between the highest personalities of the church where it will be decided the book that will replace it, its name and its content. Some names are already being considered and the one that has more strength is “Biblia 2000”.

“We can not keep trying to talk our public in a totally new world with a book that has thousands years. We are losing followers and we have to go a step further in the search for the modernization of the church. to rewrite the word of God, even if it is only the Old Testament, in which there are certain passages that it is better not to repeat. ”

The news has fallen like a bomb among the most conservative, who consider this
[4/5, 23:56]

Vitabu vyote vya dini ni uzuishi tu, si Qu'an wala Biblia...vyote ni utata mtupu. Binafsi siviamini hata kidogo kwani vimeandikwa kwa lengo la kuwaabudu wazungu, wayahudi na waarab tu. Ndiyo maana inasemwa history is always written for the victors si wafuasi, wafuasi wanabaki kuwa mabumbuwazi tu.


Kwanza kabla ya yote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA.


What happened to utakula kwa jasho? Eeh...ndio kila mtu atakula kwa jasho lake he made it clear. He made the world even and we ruined it.

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mshike sana elimu usimuache aende zake. Hapo kwenye maarifa ndo pagumu. Wengi wetu tumejitahidi kusoma lakini hatuna maarifa.
 
Wagonjwa wanapona, vipofu wanaona, vilema wanatembea...
Faith comes from hearing and hearing from the word of God. Unless you read the word of God. You can never be convinced. Na kama umekataa kuisoma bibilia basi sina la kusema..
Ila mwisho wa siku kila got litapigwa.. Wengi.. Ata Albert Einstein alihangaika kama wewe ila mwishowe akakubali tu. Na mungu atabaki tu na utukufu wake.. Usipomuabudu wewe atafufua mawe itamuabudu pia. Chaguo ni lako.
MKUU HIYO ni story hakuna ukweli ya vilema wala wagonjwa kupota TB joshua anadanganya mamilioni ya watu na mwingine wana mfungia mda si mrefu wanamuita ABUSHIRI
 
What happened to utakula kwa jasho? Eeh...ndio kila mtu atakula kwa jasho lake he made it clear. He made the world even and we ruined it.

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mshike sana elimu usimuache aende zake. Hapo kwenye maarifa ndo pagumu. Wengi wetu tumejitahidi kusoma lakini hatuna maarifa.
yani inaeleweka kabisa kuwa no way shika elimu na pia utakula kwa jasho so hata ukeshe na mifungo mingi usemi haubadiliki
 
mkuu mimi ni shaidi tokea niko mdogo nimepeleka baadhi ya wagonjwa kwennye kongamano na semina mbali mbali tena za kakobe na wengine wote unao wafahamu lakini hakuna alie pona, saidi ni maombi ambayo unaweza kaa kwako nawe ukaomba, na kuna kipindi kuuona mchungaji mpaka uandike tatizo kama ni la kuonekana hutakaa uitwe kamwe
Sasa wewe ulienda kumuomba kakobe au mungu? Usimfuate mchungaji, wachungaji waongo ni wengi, na ata maandiko yenyewe yanasema. Soma Bibilia yako. Majibu yote yapo mule.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sasa wewe ulienda kumuomba kakobe au mungu? Usimfuate mchungaji, wachungaji waongo ni wengi, na ata maandiko yenyewe yanasema. Soma Bibilia yako. Majibu yote yapo mule.
sindo mnasema kuna miujiza na wagonjwa kupona au
 
sindo mnasema kuna miujiza na wagonjwa kupona au
Ndio, lakini muujiza unatoka kwa bwana, kumaanisha sio lazima uombewe, ata wewe mwenyewe you can get healed. Sio lazima kakobe wala gwajima.. Imani ndio inayo ponya, na imani io unaipata kwa kusoma bibilia mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Watu kama nyinyi huwa mnatupa shida sana mkifa tuwazikaje, tukigoma kuwazika wazazi wenu wanakuja juu juu, wakisema mwanangu alikuwa roman.
 
wewe yako ni ipi
Ujajibu swali langu? ila kwakua nina uhakika ninachokiamini Mimi imani yangu ipo katika Yesu kristo kama Bwana na mwokozi ya maishayangu, na siku kama ya leo miaka zaidi ya elfu mbili iliopita Petro alifungua rasmi kanisa kwani leo ni siku ya pentecoste au siku ya hamsini baada ya pasaka
 
Ujajibu swali langu? ila kwakua nina uhakika ninachokiamini Mimi imani yangu ipo katika Yesu kristo kama Bwana na mwokozi ya maishayangu, na siku kama ya leo miaka zaidi ya elfu mbili iliopita Petro alifungua rasmi kanisa kwani leo ni siku ya pentecoste au siku ya hamsini baada ya pasaka
safi sana subiri kuliwa na mchwa kwanza siku ya mwisho
 
Mkuu Mungu yupo na hana upendeleo! Unasema mbona kuna matajiri sana na maskini sana, hivi unadhani tajiri ana ponda raha sanaaa kuliko maskini? Usilo lijua ni kwamba tajiri hana raha kabisa siku zake ni maangaiko yasiyo isha. Jiulize wewe pengine hapo ulipo una afya nzuri macho yako na mikono yako vyote vinashuhudia jinsi unavyo mponda Mungu aliyekupa hivyo vyote. Ange kuwa anaupendeleo au hukum yake ni kama binadam si sahivi ange kufanya kipofu?
Hizi ndio huwaga akili za masikini eti tajiri anaishi kwa shida, huu ni ujuha wa hali ya juu kabisa, usifanye kazi basi Kashinde kanisani ukingoja kwenda Paradiso ambayo huna hakika nayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom