Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Duniani tunapita tuu!pesa zitakusaidia huku duniani tu kule ni amali ulizotenda ndio zitakubeba.
Haitajalisha dini yako wala haiyumkini una pesa au huna pesa!matendo yako bora ndo yatakuokoa.kuna watu maskini wanaupata moto wa duniani na huko wakifa wataukuta uliochochewa vizuri kabisa.
Wako wenye pesa wanaotoa sadaka na kusaidia wenye shida mbalimbali hao hawatajuta.
Kama una wivu ukimkuta tajiri huko anaendelea kula bata usishangae!wakati we ulikuwa maskini hata kula ya shida ukatupwa jehanam tena.
Wacha wongo wewe, hakuna aliyewahi kwenda huko jehanamu na kurudi na hizo story, hizo zote ni hekaya za wazungu katika kututawala na kutubia, yani kutishana tuuu
 
Wacha wongo wewe, hakuna aliyewahi kwenda huko jehanamu na kurudi na hizo story, hizo zote ni hekaya za wazungu katika kututawala na kutubia, yani kutishana tuuu
wanatuteka kiakili ni sawa na saizi kama usipo fanya wanavyo taka wana sitisha misaada sasa angalia moto wake week tu nchi ina yumba
 
BAADHI YA COMMENT ZA HIGH LIGHT

Imani hizi!!
Kuna wakati nakengeuka, if God was do loving, asingeruhusu watu waumie kiasi hiki, duniani watu wanauliza sana.

The wealthiest make only 1℅ of the world's population. Watu 8 duniani wana utajiri ambao unamilikiwa na 3.6 billion poor people. Where is God to make the world "even"?

mwache afe kwa ujinga wake,hatofautiani na jirani yangu alikuwa ni mwathirika wa HIV na akawa anatumia ARV akawa vizuri tu,sijui mpuuzi gani akamdanganya aokoke kwenye kanisa flani linaitwa SILOAM,huko wakamwambia aache dawa YESU atamponya,wee...saiv ana mwezi analiwa na mchwa huko chini ya kaburi,hivi haya makanisa huwaga yanasajiliwa kwa kutumia vigezo gani?
na waumini wao huwaga wana akili gani hadi tushindwe hata kushabihiana?
kifupi kila mlokole huwaga namwona kama ubongo wake una mafuta ya taa..

Mkuu, duniani watu wanaumia sana, maisha magumu, masikini ni wengi sana. Mungu anaruhusu vipi watu wake waumie kiasi hiki, kwa nini asifanye jambo haya yaishe? Ukienda sehemu kama ocean road, muhimbili na mahospitalini ndio utajua kuwa people are really suffering.

Kwa nini Mungu asitihurumie, asitupe ahueni sote tukafurahia maisha, kwa nini only 1% ya wanadamu ndio wana maisha ya kitajiri?

Wapagani kibao wanaishi bomba sana, wewe na mimi tunaosali/ swali kila siku tunaishi terrible lives.

At times you think hizi ni propaganda za mtu mweupe kumteka akili mtu mweusi, wajua sisi tunabeba kila tunaloambiwa, tumekuwa mateka wa watu waeupe.

Hao weupe walioleta ukristo wala hawana time na imani yao.

Kuna mdachi(Dutch) mmoja aliwahi kuniambia, religion is for poor people, even in Netherlands only the poor go to church, there's nothing like Jesus or God. Nilibaki mdomo wazi.


View attachment 781166

Neno "dini" kama lilivyotumika katika karne ya 21 haina tafsiri ya wazi ya ukoloni katika lugha zisizo za Ulaya. Mwanadamu wa kibiblia Daniel Dubuisson anaandika kuwa "kile Magharibi na historia ya dini katika wake wake wamepinga chini ya jina 'dini' ni ... kitu cha pekee kabisa, ambacho kinaweza kuwa sahihi tu na yenyewe na historia yake mwenyewe." Historia ya ushirikiano wa tamaduni nyingine na kikundi cha "dini" kwa hiyo ni mwingiliano wao na wazo ambalo liliendelezwa kwanza katika Ulaya chini ya ushawishi wa Ukristo.


View attachment 781208

Wengi huko makanisani hutumia picha ya Brian Deacon kumhusisha Yesu, that's unacceptable kabisa.

View attachment 781255

ANGALIA HIYO VIDEO HAPO JAMAA ANATUPWA TU AKIMALIZA ANACHUKUA MPUNGA WAKE SAFI


imani yako ni ipi?
 
Wacha wongo wewe, hakuna aliyewahi kwenda huko jehanamu na kurudi na hizo story, hizo zote ni hekaya za wazungu katika kututawala na kutubia, yani kutishana tuuu
Endeleeni kujifariji tu hivyo hivyo eti hakuna jehanamu.. ni bora kuacha vitu kama vilivyo kuliko kupinga kabisa
 
Mungu ni stori tu,hakuna kitu kama hicho

Wanakuambia ni ngumu kwa tajiri kuingia peponi ila wanakuomba hela kanisani

Wanakuambia Mungu anapanga kila kitu ila ukifanya makosa inakuwa sio mungu tena ila ni wewe

Wanakuambia Mungu amaeumba dunia kwa siku 7 ila jua liliumbwa siku ya nne. Sasa unajiuliza hizo siku tatu za mwanzo zilihesabika vipi

Wanakuambia dunia aliyoumba Mungu ina umri wa miaka 4000 wakati kuna viumbe vilivyoishi kabla ya hapa

Dini na Mungu imeshindwa kueleza imekuaje kuna mabako ya miili ya mijuzi mamba(Dinosaurs)

Argument ni nyingi mno
 
Mungu ni stori tu,hakuna kitu kama hicho

Wanakuambia ni ngumu kwa tajiri kuingia peponi ila wanakuomba hela kanisani

Wanakuambia Mungu anapanga kila kitu ila ukifanya makosa inakuwa sio mungu tena ila ni wewe

Wanakuambia Mungu amaeumba dunia kwa siku 7 ila jua liliumbwa siku ya nne. Sasa unajiuliza hizo siku tatu za mwanzo zilihesabika vipi

Wanakuambia dunia aliyoumba Mungu ina umri wa miaka 4000 wakati kuna viumbe vilivyoishi kabla ya hapa

Dini na Mungu imeshindwa kueleza imekuaje kuna mabako ya miili ya mijuzi mamba(Dinosaurs)

Argument ni nyingi mno

Akina nani wanakuambia haya yote
 
Wacha wongo wewe, hakuna aliyewahi kwenda huko jehanamu na kurudi na hizo story, hizo zote ni hekaya za wazungu katika kututawala na kutubia, yani kutishana tuuu

Umekiri mwenyewe hakuna aliyekwenda jehanamu na kurudi, kwa maana hatujui baada ya uhai unaelekea wapi. Sasa nafuu ni ipi? Kuamini kama kuna jehanamu au kutokuamini?

Ni bora kujikinga nayo hata kama usipoyakuta hutapoteza kitu kuliko kutojikinga nayo halafu ukakutana nayo.
 
Mungu ni stori tu,hakuna kitu kama hicho

Wanakuambia ni ngumu kwa tajiri kuingia peponi ila wanakuomba hela kanisani

Wanakuambia Mungu anapanga kila kitu ila ukifanya makosa inakuwa sio mungu tena ila ni wewe

Wanakuambia Mungu amaeumba dunia kwa siku 7 ila jua liliumbwa siku ya nne. Sasa unajiuliza hizo siku tatu za mwanzo zilihesabika vipi

Wanakuambia dunia aliyoumba Mungu ina umri wa miaka 4000 wakati kuna viumbe vilivyoishi kabla ya hapa

Dini na Mungu imeshindwa kueleza imekuaje kuna mabako ya miili ya mijuzi mamba(Dinosaurs)

Argument ni nyingi mno
imani yako wewe ni ipi?
 
Mkuu Mungu yupo na hana upendeleo! Unasema mbona kuna matajiri sana na maskini sana, hivi unadhani tajiri ana ponda raha sanaaa kuliko maskini? Usilo lijua ni kwamba tajiri hana raha kabisa siku zake ni maangaiko yasiyo isha. Jiulize wewe pengine hapo ulipo una afya nzuri macho yako na mikono yako vyote vinashuhudia jinsi unavyo mponda Mungu aliyekupa hivyo vyote. Ange kuwa anaupendeleo au hukum yake ni kama binadam si sahivi ange kufanya kipofu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom