Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

KUNA USEMI HADI LEO WANAAMINI KUWA SIKU MOJA MBINGUNI NI SIKU ELFU MOJA DUNIANI ILA UKIANGALIA DUNIA IMEPITA MIAKA ZAIDI YA BILLIONI OF YEARS HADI PALE WALIPO JUA KUHESABU NA KUANZA MWAKA 1 HADI SASA 2019
BAADHI YA COMMENT ZA HIGH LIGHT

Imani hizi!!
Kuna wakati nakengeuka, if God was do loving, asingeruhusu watu waumie kiasi hiki, duniani watu wanauliza sana.

The wealthiest make only 1℅ of the world's population. Watu 8 duniani wana utajiri ambao unamilikiwa na 3.6 billion poor people. Where is God to make the world "even"?

mwache afe kwa ujinga wake,hatofautiani na jirani yangu alikuwa ni mwathirika wa HIV na akawa anatumia ARV akawa vizuri tu,sijui mpuuzi gani akamdanganya aokoke kwenye kanisa flani linaitwa SILOAM,huko wakamwambia aache dawa YESU atamponya,wee...saiv ana mwezi analiwa na mchwa huko chini ya kaburi,hivi haya makanisa huwaga yanasajiliwa kwa kutumia vigezo gani?
na waumini wao huwaga wana akili gani hadi tushindwe hata kushabihiana?
kifupi kila mlokole huwaga namwona kama ubongo wake una mafuta ya taa..

Mkuu, duniani watu wanaumia sana, maisha magumu, masikini ni wengi sana. Mungu anaruhusu vipi watu wake waumie kiasi hiki, kwa nini asifanye jambo haya yaishe? Ukienda sehemu kama ocean road, muhimbili na mahospitalini ndio utajua kuwa people are really suffering.

Kwa nini Mungu asitihurumie, asitupe ahueni sote tukafurahia maisha, kwa nini only 1% ya wanadamu ndio wana maisha ya kitajiri?

Wapagani kibao wanaishi bomba sana, wewe na mimi tunaosali/ swali kila siku tunaishi terrible lives.

At times you think hizi ni propaganda za mtu mweupe kumteka akili mtu mweusi, wajua sisi tunabeba kila tunaloambiwa, tumekuwa mateka wa watu waeupe.

Hao weupe walioleta ukristo wala hawana time na imani yao.

Kuna mdachi(Dutch) mmoja aliwahi kuniambia, religion is for poor people, even in Netherlands only the poor go to church, there's nothing like Jesus or God. Nilibaki mdomo wazi.


View attachment 781166

Neno "dini" kama lilivyotumika katika karne ya 21 haina tafsiri ya wazi ya ukoloni katika lugha zisizo za Ulaya. Mwanadamu wa kibiblia Daniel Dubuisson anaandika kuwa "kile Magharibi na historia ya dini katika wake wake wamepinga chini ya jina 'dini' ni ... kitu cha pekee kabisa, ambacho kinaweza kuwa sahihi tu na yenyewe na historia yake mwenyewe." Historia ya ushirikiano wa tamaduni nyingine na kikundi cha "dini" kwa hiyo ni mwingiliano wao na wazo ambalo liliendelezwa kwanza katika Ulaya chini ya ushawishi wa Ukristo.


View attachment 781208

Wengi huko makanisani hutumia picha ya Brian Deacon kumhusisha Yesu, that's unacceptable kabisa.

View attachment 781255

ANGALIA HIYO VIDEO HAPO JAMAA ANATUPWA TU AKIMALIZA ANACHUKUA MPUNGA WAKE SAFI

Kama hujaisoma bibilia vizuri basi huna haki ya kuisemea kama unavyosema sasa ivi..
Inapaswa uisome kwanza alafu ndipo utakua na uwezo na haki ya kuipinga na kutoa hoja zenye mantiki. Maana Bibilia ndio kutabu pekee kilichoonesha uwezo wa kutabiri matokeo yatakayotokea (future events) na ni dhahiri kwamba nguvu ya Neno la mungu hata hao wazungu wenyewe wanashindwa kuielewa.
Kukupa tu pa kuanzia ili uelewe mambo yanavyoenda duniani.. Inapaswa uelewe kua hii dunia ilikabidhiwa mikononi mwa shetani pale adamu na eve walipokula lile tunda..
To prove this.. Angalia maandiko haya Yesu alipojaribiwa na ibilisi..

Matthew 4: 8. Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake, 9. akamwambia, "Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu."

Alafu nataka ujiulize maswali haya, kwanini maandiko yanasema alimwonesha fahari zake?..
Kama kweli unataka kuelewa mambo haya basi anzia hapo.
Lakini pia nikuache na maneno haya..

Matthew 11: 15. Mwenye masikio na asikie!

Chaguo ni lako..
 
Maana Bibilia ndio kutabu pekee kilichoonesha uwezo wa kutabiri matokeo yatakayotokea (future events) na ni dhahiri kwamba nguvu ya Neno la mungu hata hao wazungu wenyewe wanashindwa kuielewa.

Kutabiri matokeo hata hii leo wengi , wewe ukiwa mmoja wao wanaweza kutabiri yatakayotokea baadae kutokana na yaliyopo na yanayoendelea..

Aonaye na afahamu!
 
Brother ,nmesoma uzi wako mwanzo , ila nikajisikia ugumu kukoment ....nmerudi ,, kama unaielezea dini kupitia ivi vipicha vipicha ..basi unakazi kubwa ya kufanya.

View attachment 781623
tapatalk_1526795188290.jpeg
 
ukiweza kuangalia picha nahisi utaelewa kila kitu we tazama hizo picha vizuri utaelewa ukweli wote

Pics za history of religion zinaonesha kwamba God ni fikra iliyoumbwa na binadamu mwenyewe, kwamba chochote anachokihusudu na kinachomletea manufaa basi ndicho anachokisujudia kwa maana ndio.

Sasa vipi kihusu hizi imani za mababu zetu ambazo mnazozingumzia naona mbona nazo zinaingia kwenye hizo pictures kwamba nao wame' create some ideologies about God and then..and then..and then

Sasa sioni mantiki ya kukandia Muslims na Christians kuhusu imani zao.
 
Asili ya hiyo mizimu ni nini? Utajuaje vilevile kama hapa kuna mizimu au inakuwa kuwaje?

Wazee wetu waliokufa,katika ukoo wetu,mimi nina baba na mama yangu ,nao wana baba na mama zao, nao wana baba na mama zao................,
 
Sasa sioni mantiki ya kukandia Muslims na Christians kuhusu imani zao

Wao waacheni waendelee kuwaomba mizimu ya mababu zao walivuka bahari ya Shamu , Mto Jordan na majangwa ya Arabu huko.
 
Kutabiri matokeo hata hii leo wengi wanaweza kutabiri yatakayotoke baadae kutokana na yaliyopo na yanayoendelea..
Kitabu kiliandikwa miaka 3000 iliyopita lakini inatabiri mambo yanayotokea leo hii... Huwezi kufananisha na utabiri unaosemea wewe uo wa kama odds za kubet..

Mfano kipindi icho hata umeme haukuwepo lakini bibilia ilishazungumzia cashless society ambayo ndio inayoendelea leo hii..

Do your research. People perish for lack of knowledge.
 
Wazee wetu waliokufa,katika ukoo wetu,mimi nina baba na mama yangu ,nao wana baba na mama zao, nao wana baba na mama zao................,

Kwa hiyo, wewe nawe ukifa unakua mzimu. Unakuwa na uwezo wa kutatua shida za watu.
 
Ivi ikija gundulika vice_veser kua watenda maovu ndio wapo sahihi itakuaje???
 
pambana na hali yako
Africa tumepokea hizo kama ni za hapa lakini kwao wala hawasali mbaya zaidi akisali mpagani ili mvua ije na inakuja Ila wewe unaiamini dini holaaaa
Mkuu hii ni kweli kabsa nmewah kuishuhudia live

Kuna babu yangu mmoja alifariki siku ya mazishi yake ilinyesha mvua pale kijijin kwa mda kama dk 15 na ilikuwa ni kiangazi kabsa mwezi wa 6
 
Wazee wetu waliokufa,katika ukoo wetu,mimi nina baba na mama yangu ,nao wana baba na mama zao, nao wana baba na mama zao................,
Kama kizazi hicho cha Kale ndio kinatumika kama Mizimu ya watu wa sasa, je kizazi cha sasa kitakuja kutumika kama Mizimu ya watu wa baadae??
Yaani je wewe utakuja kua mzimu wa watu wajao huko mbeleni wawe wanakuomba wewe wa sasa ulietangulia uawasaidie na kweli ukawasaidia??
 
Kinachonifanya kuamini uwepo wa Mungu ni kuwa haiwezekani uwepo duniani usitende haki, uwatendee watu mabaya na mwisho wa siku uondoke hivi hivi tu kabla hujalipwa kwa matendo yako.
 
Kama kizazi hicho cha Kale ndio kinatumika kama Mizimu ya watu wa sasa, je kizazi cha sasa kitakuja kutumika kama Mizimu ya watu wa baadae??
Yaani je wewe utakuja kua mzimu wa watu wajao huko mbeleni wawe wanakuomba wewe wa sasa ulietangulia uawasaidie na kweli ukawasaidia??

Imani kwa mizimu, kuamini mizimu.
Maana ya neno imani , na kitendo cha kuamini unakifahamu?
 
Kama kizazi hicho cha Kale ndio kinatumika kama Mizimu ya watu wa sasa, je kizazi cha sasa kitakuja kutumika kama Mizimu ya watu wa baadae??
Yaani je wewe utakuja kua mzimu wa watu wajao huko mbeleni wawe wanakuomba wewe wa sasa ulietangulia uawasaidie na kweli ukawasaidia??
mi nikiwa mzimu wa baadae nawaambia wafungue uzi wa ontario kisha wapambane na hali zao
 
Imani kwa mizimu, kuamini mizimu.
Maana ya neno imani , na kitendo cha kuamini unakifahamu?

Ukiwa mzimu unakuwa(ishi) wapi? Unakuwa na nguvu za namna gani na unazipata wapi mpaka unakuwa na uwezo wa kutatua matatizo ya watu hali ya kuwa ulipokuwa hai ulishindwa kuyatatua hata matatizo yako mwnyewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom