Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,762
- 16,871
Wapunguze unafiki!Wanaohoji wako sahihi kipindi ambapo hamna anayeaminika huko juu
Wapunguze unafiki!Wanaohoji wako sahihi kipindi ambapo hamna anayeaminika huko juu
Hapa kwenye dini ndio wanazingua. Kwenye hili sikubaliani naye. Mtu ni mkatoliki ila wanaulazimisha kuwa muislamu then what? Tuache hizo propaganda.Mimi nikafikiri ni raià wa Angola au Nigeria.
Halafu dini yake wewe inakuhusu nini?
Baadhi ya waafrika mnakuwaga na mentality za kijuha juha kama mfalme juha.
Umekumbuka kumeza dawa zako?Mama yako anaijua katiba? Hapana, basi naye ni senge senge kama ulivyosema/ andika hapo juu
kuna mambo mengi wanazingua. Ila ndio si-hasa hiyoHapa kwenye dini ndio wanazingua. Kwenye hili sikubaliani naye. Mtu ni mkatoliki ila wanaulazimisha kuwa muislamu then what? Tuache hizo propaganda.
... mtoa mada chama chake kinajulikana na si ajabu akakoleza moto kwa ADUI!Wabongo ni wanafiki sana, akiwemo huyu huyu mtoa mada!
... NA KUSEMA UONGO, KWA ASILIMIA YEYOTE, KUNAZIDI KUPUNGUZA 'CREDIBILITY'!Hapa kwenye dini ndio wanazingua. Kwenye hili sikubaliani naye. Mtu ni mkatoliki ila wanaulazimisha kuwa muislamu then what? Tuache hizo propaganda.
Punguzeni shobo mbona hamkuhoji kipindi ni mbunge na waziri.
Kuna dhambi gani ilimradi kaingia harusini holini kwa kadi kaketi viti vya waalikwa.
Baadae kakaribishwa meza kuu na mwenyekiti wa kamati mnahoji nini?
Kwa mtindo huu siku Hussein Bashe na Kinana wakiwania meza kuu mtahoji uraia wao sababu wamekaa kisomali.
Japo ni watanzania.
Aise wabongo mnachoshaAnasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap!
With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa
View attachment 3659270
Wazanzibari Wanatakiwa waanze kuondoka Tanganyika, same Rwandan play book
Wazanzibari ni tawi la CCMWatch your mouth! Seriously watch your mouth!
Najua hamtupendi Waislam.
Hili tunalijua.
Na hili la kusema "Wazanzibari Wazanzibari" ni pazia la kuficha chuki zenu dhidi ya Waislam.
Ila kuwa makini mno na upunguze mihemko.
Subirini amalize Mama Samia, kama mnataka mwenzenu aje kutawala, In Shaa Allah.
Hii ni Nchi yetu sote Waislam na nyinyi msio Waislam.
Hatutaki machafuko.
Na ukome kutishia Waislam genocide kama ya Rwanda ambayo watu waliuawa mpaka ndani ya kanisa (Katoliki). Watch your mouth! Nakuonya tena ukome!
Ninamuomba Allah Aikate mizizi yenu nyinyi watu waovu mno msioitakia mema Tanzania kwa sababu ya chuki zenu tu za kidini.
Hii kauli kaitumie Zanzibar ya usawa umpendekeze mkristo kuongoza visiwa hivyo,, utaona moto wake.Mimi nikafikiri ni raià wa Angola au Nigeria.
Halafu dini yake wewe inakuhusu nini?
Baadhi ya waafrika mnakuwaga na mentality za kijuha juha kama mfalme juha.
Wewe vita unayoitaka unaiweza?Wazanzibari Wanatakiwa waanze kuondoka Tanganyika, same Rwandan play book
Punguzeni shobo mbona hamkuhoji kipindi ni mbunge na waziri.
Kuna dhambi gani ilimradi kaingia harusini holini kwa kadi kaketi viti vya waalikwa.
Baadae kakaribishwa meza kuu na mwenyekiti wa kamati mnahoji nini?
Kwa mtindo huu siku Hussein Bashe na Kinana wakiwania meza kuu mtahoji uraia wao sababu wamekaa kisomali.
Japo ni watanzania.
Hakugomewa sababu ya dini yake wala asili yake, yeye alikuja kwenye kinyang'anyiro baadae nchi imeshabadilika na alikuta na watu wenye mchezo mchafu, akaona hayo sio maisha yake aingiie kwenye huo mchezo wa uadui na chuki, akamua kukaa pembeniMbona Dr Salim alipita vyeo vyote, ilipofika kwenye Urais aligomewa???
Acha kuchanganya Uislamu na Uzanzibar.Watch your mouth! Seriously watch your mouth!
Najua hamtupendi Waislam.
Hili tunalijua.
Na hili la kusema "Wazanzibari Wazanzibari" ni pazia la kuficha chuki zenu dhidi ya Waislam.
Ila kuwa makini mno na upunguze mihemko.
Subirini amalize Mama Samia, kama mnataka mwenzenu aje kutawala, In Shaa Allah.
Hii ni Nchi yetu sote Waislam na nyinyi msio Waislam.
Hatutaki machafuko.
Na ukome kutishia Waislam genocide kama ya Rwanda ambayo watu waliuawa mpaka ndani ya kanisa (Katoliki). Watch your mouth! Nakuonya tena ukome!
Ninamuomba Allah Aikate mizizi yenu nyinyi watu waovu mno msioitakia mema Tanzania kwa sababu ya chuki zenu tu za kidini.
Ni ujinga tu na ubinafsi.Mbona Dr Salim alipita vyeo vyote, ilipofika kwenye Urais aligomewa???