kufa mama yakoKafie mbele huko, hata akiwa msomali hakuna sjida tumeridhika nae
Mama yako anaijua katiba? Hapana, basi naye ni senge senge kama ulivyosema/ andika hapo juuKuna raia seng*seng* humu haijui hata katiba ya nchi yao.
Kafie mbele huko, hata akiwa msomali hakuna sjida tumeridhika nae
Punguzeni shobo mbona hamkuhoji kipindi ni mbunge na waziri.
Kuna dhambi gani ilimradi kaingia harusini holini kwa kadi kaketi viti vya waalikwa.
Baadae kakaribishwa meza kuu na mwenyekiti wa kamati mnahoji nini?
Kwa mtindo huu siku Hussein Bashe na Kinana wakiwania meza kuu mtahoji uraia wao sababu wamekaa kisomali.
Japo ni watanzania.
wewe usiwe mbumbumbu. Zanzibar si Tanganyika, tanganyika inapotezwa hivyo na wewe hulioni hili. Most probably wewe ni mzanzibari....Kama vigezo vyenyewe ndio hivi vya yeye ni nani na anatokea wapi, basi tuna safari ndefu sana.
Punguza hisia na ujifunze kusoma kwa kuelewa mdogo wangu!wewe usiwe mbumbumbu. Zanzibar si Tanganyika, tanganyika inapotezwa hivyo na wewe hulioni hili. Most probably wewe ni mzanzibari....
Wabongo ni wanafiki sana, akiwemo huyu huyu mtoa mada!Punguzeni shobo mbona hamkuhoji kipindi ni mbunge na waziri.
Kuna dhambi gani ilimradi kaingia harusini holini kwa kadi kaketi viti vya waalikwa.
Baadae kakaribishwa meza kuu na mwenyekiti wa kamati mnahoji nini?
Kwa mtindo huu siku Hussein Bashe na Kinana wakiwania meza kuu mtahoji uraia wao sababu wamekaa kisomali.
Japo ni watanzania.
Someni katibaKama vigezo vyenyewe ndio hivi vya yeye ni nani na anatokea wapi, basi tuna safari ndefu sana.
Naitambua vyema Mkuu.Someni katiba
Mimi nikafikiri ni raià wa Angola au Nigeria.Anasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap!
With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa
View attachment 3659270
Kikubwa awe mtanganyika mwenzetu😃😃Kama vigezo vyenyewe ndio hivi vya yeye ni nani na anatokea wapi, basi tuna safari ndefu sana.
Kikubwa awe ameingia kwenye uongozi kihalali na siyo kwa mauaji kama alivyofanya Samia ambaye soon litamfika la kumfika.Kikubwa awe mtanganyika mwenzetu😃😃
Upo sahihiKikubwa awe ameingia kwenye uongozi kihalali na siyo kwa mauaji kama alivyofanya Samia ambaye soon litamfika la kumfika.
Wanaohoji wako sahihi kipindi ambapo hamna anayeaminika huko juuNaitambua vyema Mkuu.
Wewe wasemaKafie mbele huko, hata akiwa msomali hakuna sjida tumeridhika nae