Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Tuoneshe ulinzi wa mmakonde tufanishe🤔🤔🤔🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Huyo wa kushoto mbona kama Mzee.Mikikimikiki ya "martial arts" anaweZa kweli?
 
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Kwenye hotuba yake ya kuaga mwili,mama Samiah ameahidi kutekeleza miradi yote ya Jiwe.Kweli kaachiwa zigo!
 
Hata uwe msafi mpaka unawaka kama almasi ulinzi madhubuti ni muhimu No matter what...No offense.

_Kiislam hakuna aliye msafi kama Mtume (S.W.A) na alishambuliwa na mawe.

_Kikristo hakuna aliyemsafi zaidi ya Yesu na alishambuliwa.

Ulinzi madhubuti ni muhimu no excuse...akili mfu tu ndio itapinga.
Basi huyu hakuwa na ulinzi madhubuti!
 
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
LOOoo,
Leo nimekusoma....!

Lakini huwa nakusoma mara kwa mara...!

Na kweli maisha ni mafupi.

Kufumba na kufumbua, Magufuli hatunaye tena! Kama mzaha mzaha vile!
 
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
hayo ndio mambo yaliyotuchelewesha kwa miaka 60 toka uhulu.
unapotaka kufanya makubwa lazima mengine yangoje kwanza. hayo yatangoja kwamza mpaka kazi iishe.usitupangie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Haina haja ya kujipiga chini bali utekelezwaji wake uwe wenye uwiano na kwingine sio kama marehemu robo tatu ya bajeti ya wizara inaenda kwenye mradi mmja
 
Ningependa uitaje miradi unayodhani inatakiwa kupigwa chini kama unavyosema,,
Miradi kama reli ,kununua mandege na kujenga mastendi ya mabilioni ni useless na haina tija.

Kuanza mradi wa umeme kule Njombe wa Kazi hank wakati hata wa sasa ni mkubwa na unaumiza uchumi.
 
Back
Top Bottom