Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Tatizo moja la sisi huwa ni hivi mwanzoni watakupa kila aina ya sifa mpaka vitu vya kawaida kama hivyo ila muda ukifika wanavyobadilika huwezi amini.

Ndio wanadamu Asili yao unafiki
 
Hivi hayo majamaa kwenye hiyo picha ya chini yaliyosimama na mabunduki makubwa, yanatokea nchi gani? Maana hatuna sare za aina hiyo kama sikosei!!
Kama hujui hukutakiwa kusema "hatima sare kama hizo ". Hao ni PSU (Presidential Security Unit).Na upatikanaji wake si kuchukua tu watu Jeshini kama unavyodhani.
 
Pumbafu

Hemu soma mtiririko wa hoja basi vipi wewe jinga kabisa.

Nimekupa mfano hekima ikiwa uwone kuwa msafi sio tiketi ya kuwa salama hivyo ulinzi muhimu Instead kujua dhumuni la mfano ni nini....umeshindwa kuelewa unandika sijui Mungu sijui nini Rubbish.

JF kuwe na vigezo vya mtu kujiunga kupunguza kuchoshana mtu haelewi hata Mfano.

Alafu nikufundishe kitu uwelewa wako mdogo sana kuhusu Mungu...Mungu hakulindi kimiujiza ulinzi wa Mungu anapitisha kwa njia za kawaida unahitaji kujilinda na CCTV, Electric Wire, Bunduki nk ndipo Mungu anapitisha ulinzi wake humohumo sio umekaa kahasarahasara useme Mungu anakulinda uwo ni upuuzi.
Mtoto haramu kama wewe usiyemfahamu baba yako ni halali kubwabwaja matusi! Ungelelewa na baba yako mzazi ungekuwa na chembe ya heshima!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Kuna jamaa namuona alikuwa pia mlinzi wa JPM Yuko hapo nyuma ya mama.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Mbona wanaume wamo pia. Ahaaa!! Hii siyo haki jamani heee!! Huyu ni Rais walinzi wanaume wa nini??

Mme wake amekubali ya hivi?? Sasa akiteleza kwa mfano mwanaume atamdakaje Rais?? Yaani aguswe na ziwa la Rais? Ayaaaaa!! Hawatafanya kazi yao hawa!! Watalegea mno!!!

Ke na Me ni hasi na chanya lazima moto uwake hapo.Na mama siyo mzee kiviile!! Hayaaa! Ngoja tusubiri.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Ndugai naye siku hizi mlinzi wa Rais?
IMG_20210326_131630.jpg
 
Mbona wanaume wamo pia. Ahaaa!! Hii siyo haki jamani heee!! Huyu ni Rais walinzi wanaume wa nini??

Mme wake amekubali ya hivi?? Sasa akiteleza kwa mfano mwanaume atamdakaje Rais?? Yaani aguswe na ziwa la Rais? Ayaaaaa!! Hawatafanya kazi yao hawa!! Watalegea mno!!!

Ke na Me ni hasi na chanya lazima moto uwake hapo.Na mama siyo mzee kiviile!! Hayaaa! Ngoja tusubiri.
Umeandika nini sasa

Ova
 
Mtoto haramu kama wewe usiyemfahamu baba yako ni halali kubwabwaja matusi! Ungelelewa na baba yako mzazi ungekuwa na chembe ya heshima!
Usini-Quote tena we takataka
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Huu ni mwanzo tu, hii ni mapema.

Hata Magu alianza bila hata mlinzi, kwenda Ferry na Wizara ya fedha...

Subiri madaraka yakoleee
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Hizo ajira utazipata wapi ?? Mashirika yana nguvu kidogo za kuajiri kama nssf,pssf, ma be no n.k bila uchumi kukuwa, kwanini nchi zilizoendelea wanataka sisi tuwe wazalishaji wa Mali ghafi na wao watengeneze final project
 
Hakuna hata mradi mmoja unaopigwa chini, hawa ni watu waliofeli maisha.. miradi mingine mingi zaidi itaanzishwa kwa ajili ya Legacy yake pia.
Wamekosa hoja kabisa inaingia akilini mtu anatoka from nowhare anataka SGR ife S.Gorge ife Salenda bridge ife anataka pesa zirundi kwenye akaunti za mabwana zake Uswisi
 
Back
Top Bottom