Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,701
- 35,772
Jiwe hakuwa anabalance mambo , japo alionekana ana nia ya dhati Ila ukweli Tu ni kuwa mwamba alikuwa ni hovyo kwenye plan zake ...... Angekuwepo angeendelea kung'ang'ania haya madege licha ya kuonyesha consecutively loss ..mana yeye anaamini hakosei na hapendi kukosolewa , na ameyanunua Kwa Gharama ya ku-pin out ajira za vijana wengi tuu, kuminya pesa za wastaafu , na kuwafanyia roho mbaya aliowaita wafanya kaz wenye vyeti feki kwa kukwapua mafao yao, kuminya mzunguko wa hela kitaa, kuongeza Kodi mpak za majengo huko ,na kutoongeza mishahara ya wafanyakazi, sambamba na deni la Taifa kushoot Kwa 💯 ndani ya miaka 6 since Jk leave the throne .... unapofanya uwekezaji, unafanya mambo mengi Kwa kizazi kilichopo na machache Kwa kizazi kinachokuja .... Yesu alisema tusihangaike Sana na mambo ya kesho Kwa kujiumiza Sana sababu Sisi ya kwetu ni leo tuu.... na huu umekuwa mfano hai Kwa jiwe , tumepitia wakat mgumu Sana kiuchumi Kwa maono amabyo ukamilikaji wake ni sio over night ni Zaid ya miaka Mia .....Mkuu hili ni Taifa, Long term plan ni Muhimu sana, kumbuka kuna vizazi vingi vinafuata na ni lazima waje kufaidi hiyo miradi.
Anapaswa kubalance mambo, miradi ni muhimu sana, hakuna nchi kubwa duniani iliyoendelea bila LONG PLANS inayotekelezeka
Binafsi kwenye uwekezaji wa Airport na Airlines ndio ustop kwanza kwasababu imethibitika kuna hasara kubwa baada ya uchunguzi.
Miradi mingine itiliwe mkazo na kusimamiwa kwa ukuaji wa uchumi.
Mama Samia anatakiwa aelewe hili , siwez Mimi kulala njaa kisa namtengenezea maisha mazuri mtu atayeishi Tanzania mwaka 2100 , huo ujinga big nooo hata Mungu anaelewa