IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,492
- 5,349
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie akili huwa mnapeleka likizo ndio maana ccm wanawachezea wapendavyo!Imetulia.
Hakuna mbwembwe za kijeshi za mabunduki tulizozizoea kwa Magufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie akili huwa mnapeleka likizo ndio maana ccm wanawachezea wapendavyo!Imetulia.
Hakuna mbwembwe za kijeshi za mabunduki tulizozizoea kwa Magufuli.
Yap Samia yuko smart sana!Rais yupo smart Sana huyu Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana, kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho, na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa, ajiri watu, ongezea mishahara.
Maisha mafupi haya jamani, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda.
Kabisa yuko vizuri sanaaaa!Huyu Mama naona atafanya vizuri sana kuliko mtangulizi wake
Kabisa mkuuSafi, nchi ya amani hii mabunduki ya nini msibani
Kabisa yani Rais anatupeleka vizuri sanaYap
Ujumbe UMEFIKA....mambo mapya KWENDA NA DUNIA SAMBAMBA
Yap yap
Ukisikia watu wanaitwa nyumbu uwe unaelewa!Kwahiyo kwa point hiyo tu, tayari Samia ni Rais mnayemkubali sasa sio??[emoji848]
Wewe ni mtoto mdogo tu hujui kituHivi hayo majamaa kwenye hiyo picha ya chini yaliyosimama na mabunduki makubwa, yanatokea nchi gani? Maana hatuna sare za aina hiyo kama sikosei!!
Unjasikiaje kamanda?Mwalimu alishawahi kusema mkiona Kiongozi amezungukwa na Mabunduki basi mjue mnaibiwa
Sanaaaa! Tz tuko vizuri sanaaaaHii ndio Tanzania tuijuayo isiyokuwa na Watu wa kutishatisha
Safi mkuu!Nyie pimbi ulinzi wa Rais inategemea na yupo eneo gani hao wa kushika bunduki hata samia anao acheni kujidanganya ati upo smart mara nini! Kiujumla ulinzi wa Rais unaprotokali zake kama huyu atakuwa si mtu wa misafara sana basi hata ile safu ya wenye mabunduki hamtaiona Sana lkn ile safu ipo na inakazi yake acheni kubwabwaja tu.
Yap Samia yuko smart sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo hpsu inawakilisha niniUlinzi Bado Uko ule ule Tu, hata walinzi Bado Ni wale² ambao wengi walkuwa Kwa Magu. Sema HPSU amebadilishwa Sio Mzee Wambura Tena, Yuko Jamaa Mmoja Muislam
Siku hizi limeshabadilika! Naona tayari limeshalewa madaraka!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Head of Presidential Security UnitHiyo hpsu inawakilisha nini
GudHead of Presidential Security Unit
Hivi karibuni yatarudi yale magari ya Mabomu
Ulinzi Bado Uko ule ule Tu, hata walinzi Bado Ni wale² ambao wengi walkuwa Kwa Magu. Sema HPSU amebadilishwa Sio Mzee Wambura Tena, Yuko Jamaa Mmoja Muislam
Sina hakika ila Kwa Sasa Yuko Kwa Mpango VPWambura alikiluwa anakula kitimoto kwani?
Sina hakika ila Kwa Sasa Yuko Kwa Mpango VP