Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,664
- 8,278
Kwa hyo Msiokula Noah ndio Mnaupiga Mwingi? Tungoje wazuri wa Ulinzi akiteuliwa ambae anavuka seaWala noah awamu hii mjiangalie.
Kwa hyo Msiokula Noah ndio Mnaupiga Mwingi? Tungoje wazuri wa Ulinzi akiteuliwa ambae anavuka seaWala noah awamu hii mjiangalie.
Kwa hyo Msiokula Noah ndio Mnaupiga Mwingi? Tungoje wazuri wa Ulinzi akiteuliwa ambae anavuka sea
Na hao mpambe na bodyguard wake dini gani,?Akikujibu nitag mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado umesimama kwenye kauli yako Hii?Imetulia.
Hakuna mbwembwe za kijeshi za mabunduki tulizozizoea kwa Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Kuliko wewe Uvccm unayesubiria uteuzi wa kubebwa!!Wewe ni mtoto mdogo tu hujui kitu
Ila we nawe huna kabisa akili!
Ukiona wengine hawaonekani humu baada ya muda ujue ndio 'utamu wa uzi'...Yaani ulinzi wa Rais unajadiliwa hadharani? Ngoja muanze kushughulikiwa ndipo faida na hasara za uropokaji mtakapozijuahhahha uzi mtamu sana
Akili anazo mumeoIla we nawe huna kabisa akili!
Unaendeshwa na mihemuko tu.
Mtu hata wiki hajamaliza wewe tayari unaanza kuchekelea.
Hujamwona kwenye settings mbalimbali na tofauti tofauti unaanza kutoa kauli kana kwamba unajua hata unachokiongelea…kumbe hakuna lolote!
Nimekosa mimi nisameheni mimiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
[emoji3][emoji3][emoji3]Nimekosa mimi nisameheni mimi
Nachukia sana kuona walinzi wa raisi wakimzonga na kumdhibiti hata mbele ya cameras. Ulinzi wa kizamani sana... Na ni ishara ya woga.Mlichokosea mlidhani jiwe ndo alikuwa anajiamlia alindwe vile
Wakati kipo kitengo ndo kinaratibu hayo rais atake asitake atalindwa vile
Daah??Ukiona wengine hawaonekani humu baada ya muda ujue ndio 'utamu wa uzi'...Yaani ulinzi wa Rais unajadiliwa hadharani? Ngoja muanze kushughulikiwa ndipo faida na hasara za uropokaji mtakapozijua
Hao wenye silaha lazima wawepo na hawakosekani kwenye PSU.
Ni kweli kabisaa Kagame ana ulinzi mkali lakini huwezi kuona kazingirwa hovyo, psu inahitaji kubadilika kwenye hiliNachukia sana kuona walinzi wa raisi wakimzonga na kumdhibiti hata mbele ya cameras. Ulinzi wa kizamani sana... Na ni ishara ya woga.
Hata Kagame na Museveni hawazingirwi na ulinzi wa ajabu kiasi kile!
Nahisi siku tukimpata raisi mwenye ulemavu wa miguu atapangiwa walinzi wa kumbeba.