Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Uko serious kweli Kuna mtu kashuhudia hivyo? Ukimwangalia alikuwa na akili timamu kweli?
Hela ikiingia kwenye simu msg inasoma umepokea 10 million toka kadhi mkuu 1, Sasa yeye jina gani lilituma hizo hela?
Hawezi kuhojiwa na police kweli?
Kuna watu wapumbavu ajabu.
 
Haahaahaa ......atakuwa mcharo soon

Halafu haya mambo lazima pia utoe kafara!

Si unaona Dad Bushiri baada ya kumtoa his beloved daughter
Huyu MC pilipili kanisa lake liko wapi? Kuna idadi kama kiasi gani waumini kwenye kanisa lake?
 
Unategemea nini toka kwa watu waliokubali kuitwa wanakondoo? Kondoo hawana akili unawaswaga tu wanaenda unakotaka. Ndivyo hawa wanaojiita mitume wengi wanavyofanya.

Ni kama vile uwa wanashindana kuonyesha ni nani ambaye ana kondoo wajinga kuliko mwenzake. Utakuta huyu anawavua kondoo wake wa kike chupi madhabahuni nao wanakubali, huyu anakula ugali madhabahuni anaita kondoo wake wa kiume waje wamlambe mikono.
Huyu anawanywesha dawa ya kuulia wadudu.

Ukikubali kuwa kondoo kwisha kazi.
Du! Aisee hawa ni kondoo kwelikweli 🤣🤣🤣
 
Kuna kondoo wake mmoja namchakata amenifanya niwaze San manzi kila siku kweny maombi alfu anaishi na muwe wake jamaa sijui anaenda asbh za kum na moja alfjiri kazin yeye Saa mbili kamili za asbh Yuko kwangu kuchakatwa alfu umwambii chochote kuhusu mwamposa ..
Ananishawishi tuwende jipili tukavuke nikajiuliza nienda kanisani na mtu ambae Nina zini nae kweli tukavuke
Watu wanaosali pale Kuna tatizo fln ubongoni siyo bure .
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Ngoja tuone Mange Kimambi app itakua na habari gani kumhusu huyu jamaa as promised then 'a free mind' inaweza kuwa somehow informed ili iweze fanya decision vzur
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Hela za ndotoni hizi. Laini ya Nani hiyo ipokee hiyo hela? Na sio mtumiaji wa miamala. Mwamposa bhana
 
Niliwahi kwenda kwa hyo tapeli siunajua tena ukikwama unajaribu kila njia ya kujiokoa muda wa ushuhuda kuna mama akatoa ushuhuda eti amepona ukimwi nilikimbia hadi ubongo mataa ndio nikasimama ili ninywe maji.
 
Ushuhuda una chembe chembe za miujiza

Kihalisia kiwango cha mwisho kuhifadhi kwenye simu ni chini ya milion 4

Ila kwa mwamposa lolote linawezekana, yale maji yana power ya kupumbaza servers za mitandao na kufanya milion 10 iwe detected kama milion 1

Halafu kingine ambacho shuhuda hakukisimulia ni pesa ya makato, unajua ukishapata upako wa mwamposa hakuna muamala wowote ambao utakuwa na tozo wala makato?

Ni muda tu haukuwa rafiki ila shuhuda alikuwa na mengi ya kusimulia na yakushangaza na kuonesha ukuu wa Mungu kupitia nabii wake mnyakyusa mwamposa

Shalom
Daah..anyway mambo ya miujiza hupaswi kuyatafakari kwa akili ya kawaida.

#MaendeleoHayanaChama
 
Anzisha wewe fursa inakupita. Ila usije kuwa kama baba god wa mwanza. Hivi yule wa mwanza aliewaaminisha waumini wake kuwa yeye ni mungu sijui zumaridi aliishia wapi? Sijui hawakusanuka baada ya mungu wao kufungiwa na serikali wakajua kuwa yuko weak?
Bado yupo zama YouTube utamuona.


#MaendeleoHayanaChama
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Haya makanisa ya mitume na manabii ni shida sana. Hizi shuhuda zinazotolewa na waumini nyingi zimekaa kibiashara zaidi hazina uhalisia. Na mwingine nilimsikia akitos ushuhuda kama huo ngomeni kwa Musa Richard Mwacha. Yeye alidai alipokea milioni moja na hakujua imetoka wapi na hata sms hakuwahi kuiona yeye aliuliza salio ndo akaikuta milioni hiyo kwenye akaunti yake.
 
wakristo mazuzu,acha wapigwe Sana tu, ukiwazindua wanakuambia uislam dini ya majini sijui Nini na Nini, wenzao Waislamu hakuna uho upuuzi, Kuna tapeli mmoja nae anajiita eti nabii shillah, Cha ajabu eti pia ana waumini na wanamuamini haswaa,

yaani wanatapeli kindezi Sana aisee
Ukristo ni dini halali..ndio mana shetani anaishambulia sana..hawezi shambulia kambi yake ya maajini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nlishawahi soma ushuhuda wao kwenye gazeti lake wanauza hapo kanisani..kulikua na mpangaji kanipa ye no muumini hapo..jamani jamani
Eti mmoja anasema anashukuru mwanae kapona alikua anasumbuliwa na Kansa ya ubongo,akaenda hospital madokta wakamwambia inabidi tumfanyie operation mwano tumtoe huo ubongo atakufa.akaubalai wakamtoa. Akabakia fuvu ndani tupu.

Kuna mwingine akasema alikua na mtaji wa million kumi duka.likafilisika lote hadi akaishiwa.akaja kuombewa asahivi duka na mtaji umerudi tena
.nkajiuliza umerudije

Mwingine anadaia alikua hana jamani ana madeni makubwa na hela hana,akaja kuombewa madeni yakaisha..najiuliza yaliisha kimiujiza ama wenye pesa zao walimsamehe.
God is able..kama unaamini kuwa Yesu alitembea juu ya maji..au danieli hakuliwa na simba..au elisha kupiga upofu jeshi..au musa kupiga mwamba ukatoa maji..unaashindwa vipi kuamini hiyo miujiza ya pesa..mana injili na Mungu ni yule yule wanao muhubili akina mwamposa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom