Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,494
Kwa wale waliovuruga ndoa zao kwa upumbavu waoSio wanawake wote mkuu...
Kwa wale waliovuruga ndoa zao kwa upumbavu waoSio wanawake wote mkuu...
Kwakweli kwa lugha ya kitaalam from ndalichakoroo anasema ze to be told mix with ze you.
hawa watu wanawaaminisha watu watapata pesa kupitia miujiza wakat wao wenyew hela zao wanpata kwa kukusanya sadaka, watu cjui huwa hawafikirii loh!Pokeaa muujiiiiiiiza Kwa Jina la Yesu!
Ameeeeeen!
Pokeaa muujiiiiiiiza Kwa Jina la Yesu!
ameniiiiiiiiiiiiiii!
Ukapate muujiza wa gari ukapate muujiza wa nyumba,ukapate muujiza wa kazii omba muujizaaaaaa!
Kondoo: Ameeniiiiiiiii!
Haya wapendwa tunaomba ule mchango wa ujenzi wa nyumba na ununuzi wa gari la mchungaji wetu bwana atawabriki Sana!
Mimi:😲😲😲😲😲
Kikubwa nachoweza kukwambia acha ujuaji, mtu kufiwa na mwanae kwako isiwe ni kafara kwa mtazamo wako.We umetoa kafara una hasira sana asee
Toa hela upate kazi ili upate hela.hawa watu wanawaaminisha watu watapata pesa kupitia miujiza wakat wao wenyew hela zao wanpata kwa kukusanya sadaka, watu cjui huwa hawafikirii loh!
Ila dini si ndio hii hii waliyokuwa nayo wao kipindi cha ukoloni?
Hata sms zile za matapeli hawezi kukurubuni na hela nyingi kiasi hikiHuwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Na serikali ipo imekaa kimya tuuHapo na kuna watu walipiga makofi kabisa.!!! Haleluya Haleluya
Kwa uelewa wangu wa kibangibangi,wenye HIV wakimeza manjugu ukipima virusi havionekani.Sasa mama anatafuta wajinga walete manjugu yao ayaombee wameze wakapime test ionyeshe negative awapige pesa kuwa amewaponya.Simple like that.Daah Mungu atusaidie
Ndio maana nimezungumzia levels. Kwa beginners kama wewe, hapo upo sahihi kabisa, maana ni level za kufundishwa kwamba Tano kutoa Saba jibu lake ni haiwezekaniMimi naongelea wanakondoo, kwani wewe unazungumzia nini mkuu?
Na wanatomb.. wa sana hukoNa ndiyo maana wake zenu hamuwezi kuwazuia kwenda huko.
Mungu hubariki kazi za mikono yako. Mungu hukupa nguvu za kupata utajiri. Mungu ameagiza asiyefanya kazi na asile. Ni dhahiri basi kuwa Mungu hukupa BARAKA kupitia kazi ya mikono yako... Tena kazi halali.!! Usisugue magoti kusubiri pesa toka juu. Watu wafanye kazi... Kupitia kazi utabarikiwa !!!!Hahahaha
Beginners au sioNdio maana nimezungumzia levels. Kwa beginners kama wewe, hapo upo sahihi kabisa, maana ni level za kufundishwa kwamba Tano kutoa Saba jibu lake ni haiwezekani
hallelujah!Hapo na kuna watu walipiga makofi kabisa.!!! Haleluya Haleluya
Hukuwa na haja ya kusema "Mungu akusamehe" kwa sababu huna kosa hapo. Huo ni utapeli kama utapeli mwingine. Hongera kwa kuutumia vizuri utashi uliopewaHuwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani