Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Hivi kuna watu bado wanaamin kuwa.......Yupo?Pole yao acha waliojua mapema waendlee kuzkusanya
 
Pokeaa muujiiiiiiiza Kwa Jina la Yesu!

Ameeeeeen!

Pokeaa muujiiiiiiiza Kwa Jina la Yesu!

ameniiiiiiiiiiiiiii!



Ukapate muujiza wa gari ukapate muujiza wa nyumba,ukapate muujiza wa kazii omba muujizaaaaaa!

Kondoo: Ameeniiiiiiiii!


Haya wapendwa tunaomba ule mchango wa ujenzi wa nyumba na ununuzi wa gari la mchungaji wetu bwana atawabriki Sana!

Mimi:😲😲😲😲😲
hawa watu wanawaaminisha watu watapata pesa kupitia miujiza wakat wao wenyew hela zao wanpata kwa kukusanya sadaka, watu cjui huwa hawafikirii loh!
 
IMG_20220207_164748.jpg
 
Huku mitaan kila mtu anaanzsha huduma, startups kila kona nyumba za huduma ni nyng kuliko vituo vya kazi
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Hata sms zile za matapeli hawezi kukurubuni na hela nyingi kiasi hiki
 
Mimi naongelea wanakondoo, kwani wewe unazungumzia nini mkuu?
Ndio maana nimezungumzia levels. Kwa beginners kama wewe, hapo upo sahihi kabisa, maana ni level za kufundishwa kwamba Tano kutoa Saba jibu lake ni haiwezekani
 
Mungu hubariki kazi za mikono yako. Mungu hukupa nguvu za kupata utajiri. Mungu ameagiza asiyefanya kazi na asile. Ni dhahiri basi kuwa Mungu hukupa BARAKA kupitia kazi ya mikono yako... Tena kazi halali.!! Usisugue magoti kusubiri pesa toka juu. Watu wafanye kazi... Kupitia kazi utabarikiwa !!!!
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limojatena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Hukuwa na haja ya kusema "Mungu akusamehe" kwa sababu huna kosa hapo. Huo ni utapeli kama utapeli mwingine. Hongera kwa kuutumia vizuri utashi uliopewa

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom