Kwa marefa trained na kama hauna VAR hakiikisha hii unanyoosha kibendera... usipofanya hivyo utafanya kosa kama la leo... hautaona pacime akiwa anarudi na movement atakazozifanya kabla ya mpira kumfikia tena.. kama hapa akiwa anatoka kwenye offside position alifanya obstruction kwa mchezaji alekuwa anam - mark max nadhani... sio u simba na uyanga... mazingira haya ni VAR pekee unaweza kuitegemea.. kama hauna VAR nyoosha kibendera - kusipokuwa na movement ya aliye offside utakuwa umekataa goli halali na hautalaumiwa sana luliko ukiruhusu mchezo uendelee halafu ikatokea kama ya leo.. itaonekana tu ulilipwa... it was a clear offside.