Huu mpira wa bongo bana

Huu mpira wa bongo bana

Ukikubali kwamba aligusana na beki za Simba akiwa ametoka kwenye offside position na kufanya obstruction kwa Rushine ndio kuingilia mpira huko hivyo goli alilofunga sio halali.
Obstruction alifanya refa kumzuia Doumbia kufunga goli la pili akipuliza filimbi filimbi bila sababu yoyote ili Simba isiendelee kupokea kipigo kizito.
Obstruction zingine zilifanyikaga kule Tanga katika fainali ya Ngao ya Jamii kwa refa kumruhusu Ally Salim kuwa Anatoka kwenye line na kudaka penalty za Yanga uku aki ibuka shujaa na tulipo hojii tukaambiwa malalamiko yetu tuyapeleke Tff.
 
soma sheria za offside acha kukurupuka pecome alikuwa offside
Picha inatakiwa ionekana ikiwa mpiga mpira ndio ana release mpira kutoka kwenye mguu wake. Kuweka picha ambayo mpira ambao upo halfway unatukosea sana.
 
Yaani unakuwa sio offside bali unakuwa kwenye eneo la offside? Unapokuwa upo kwenye offside position huruhusiwi ku interfere kwenye move kwani unakuwa automatic offside. Ukifunga kwenye rebound ukiwa unatoka kwenye offside position basi ni offside. Kungekuwepo na VAR huo mjadala usingekuwepo.VAR ingeanzia Pacome alipotoka kwenye offside position na kushiriki kwenye move na kufunga akitoka kwenye offside position.
VAR sio sheria ya mpira ni watu tu kama wewe wanaongalia replay, Pacome alimu interfere nani? Wakati mpira ulipopigwa na Mzize maxi alikuwa onside position. Pacome alisimama pale pale mabeki na maxi walimpita akiwa amesimama pale ulitaka akimbilie wapii? Alipocheza mpira goli kipa tayari ile offside ya Pacome ikafa. Kwahiyo goli halali
 
Yaani unakuwa sio offside bali unakuwa kwenye eneo la offside? Unapokuwa upo kwenye offside position huruhusiwi ku interfere kwenye move kwani unakuwa automatic offside. Ukifunga kwenye rebound ukiwa unatoka kwenye offside position basi ni offside. Kungekuwepo na VAR huo mjadala usingekuwepo.VAR ingeanzia Pacome alipotoka kwenye offside position na kushiriki kwenye move na kufunga akitoka kwenye offside position.

View: https://www.instagram.com/reel/DOq_oR0DWPY/?igsh=enFrNTFjdm5ramJj
 
Ukitoka kwenye offside position halafu urudi kushiriki kwenye move ni offside. Hili goli ni offside kwa kanuni za offside. Sheria za offside zimebadilishwa unakuwa offside unapozidi mwili mzima.Pacome alikuwa offside akarudi na ku interfere kwenye move na kufunga.
Endeleeni hivyo hivyo na ujinga wenu
 
Unapomtafsiri Pacome alikuwa offside ila hakuwa ameingilia mchezo, offside ilikufa mara baada ya Max kuuchukua ule mpira , Pacome angeugusa mpira mda Max ameuchukua ingekuwa offside.

Max kachukua mpira na akasogea zaidi eneo la gori wakati huu tayari Pacome alikuwa nyuma, Max anapiga Camara anaurudisha, so ukitaka kuitafsiri kama ni offside au lah angalia mda Max anapiga mpira Pacome alikuwa wapi.
pacome amemblock de rouk kwenye njia ambapo alikuwa anaenda kumkaba max so apo inatafsiliwa pacome amenufaika na ile offside aliokuwepo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
pacome amemblock de rouk kwenye njia ambapo alikuwa anaenda kumkaba max so apo inatafsiliwa pacome amenufaika na ile offside aliokuwepo
First touch ya Maxi inaua nafasi ya awali aliyopo Pacome. Mbona mnakuwa wagumu kuelewa mambo mepesi hivyo? Angalia hili goli la Messi utaelewa.
 

Attachments

  • XumMnSpmfnsmV_Dg.mp4
    475.4 KB
Back
Top Bottom