Kwahiyo sio offside tena ni malalamiko ya faulo?Unajua alimfanyia nini de reuck pale ilitakiwa kuwa obstruction au faulo
Daah! Yaani imeshakuwa kawaida sasa kuwakosesha furaha Mtani. 😂
Una ulivyo zoba,unaona kupiga punyeto ni fahari!Mjinga baba yako.Angepiga punyeto asingezaliwa poyoyo kama wewe.
Wewe una lalamikia refa wenzako wana lalamikia kocha wengine wachezaji wengine Mangungu yaani mpka msemeUnajua alimfanyia nini de reuck pale ilitakiwa kuwa obstruction au faulo
Kwa baba yako ingekuwa fahari kuliko kuwa na mtoto zwazwa kama wewe.Una ulivyo zoba,unaona kupiga punyeto ni fahari!
Kunywa maji mengi upunguze hasira! tutaendelea kupiga kichwani mpka 2030Kwa baba yako ingekuwa fahari kuliko kuwa na mtoto zwazwa kama wewe.
Ushauri huo mpe mama yako aliyekubali kuolewa na genes zilizokuzaa wewe.Dundee UnitedKunywa maji mengi upunguze hasira! tutaendelea kupiga kichwani mpka 2030
Movement yake ilikuwa ni kuukwepa mpira au kufuata mpira? Yaani unaonekana mpira na sheria zake zimekupiga chenga ama pengine unaongea tu ili kubishana. Hauna hoja inayoeleweka na umepewa na mifano kabisaOffside na obstruction lkn jua kuwa pecome aliingilia mchezo kwa kufanya movement
Kwani wewe umesomea wapi urefa mpaka ukapost hii thread.Kasomea wapi urefaa huyo mhuni au ukijua kuongea unakuwa mchambuzi😁
Inshallah,Tuseme inshallah makaveli10
Pacome hakumzuia yule beki wa Simba?Unapomtafsiri Pacome alikuwa offside ila hakuwa ameingilia mchezo, offside ilikufa mara baada ya Max kuuchukua ule mpira , Pacome angeugusa mpira mda Max ameuchukua ingekuwa offside.
Max kachukua mpira na akasogea zaidi eneo la gori wakati huu tayari Pacome alikuwa nyuma, Max anapiga Camara anaurudisha, so ukitaka kuitafsiri kama ni offside au lah angalia mda Max anapiga mpira Pacome alikuwa wapi.
Nieomeona clip jana ya Lionel Mess jana ikitembea akiwa Barcelona alipigiwa mpira akiwa katika offside position lakini aliupishapacome amemblock de rouk kwenye njia ambapo alikuwa anaenda kumkaba max so apo inatafsiliwa pacome amenufaika na ile offside aliokuwepo
We nitapata shida kukuelekeza, tafuta picha ya mnato Pacome akiwa anamzuia beki wa Simba then niambie hapo offside inawezekana vipi wakati mwenye mpira alikuwa Max na alikuwa mbele ya Pacome na Beki wa Simba.Pacome hakumzuia yule beki wa Simba?
Kama alimzuia basi aliingilia mchezo ni Offside, kama hakumzuia ni clear goal.
Swali kwako, alimzuia au hakumzuia!?
Kitendo cha Maxi kuumiliki mpira pasipo kumshirikisha Pacome ikaua offside aliyekuwepo Pacome hapo awali. Kama kumzuia au kuingilia mchezo ni baada ya Maxi kuumiliki mpira. Angalia clip hii uone goli alilofunga MessiPacome hakumzuia yule beki wa Simba?
Kama alimzuia basi aliingilia mchezo ni Offside, kama hakumzuia ni clear goal.
Swali kwako, alimzuia au hakumzuia!?