Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,668
- 86,533
Sioni sababu na nashangaa kwanini UTUMISHI wamekimbilia kutumia ESS na huku ukweli haufanyi kazi, unaingia Online wanakwambia wanashidnwa ku-retrieve taarifa zako, unaomba uhamisho, unajaza kila taarifa then unakuta hakuna kiytu chochote na hakuna mtu wa kukusadiai.
Naupenda sana Mfumo wa NEST (National E-procurement System) wana kitengo cha msaada na mnafanya wote online na mnapata suluhu mara moja, yaani UTUMISHI wanashindwa hata na Customer care wa TANESCO? Mfumo gani ambao hauna msaada? huu ni mwanya wa kukaribisha rushwa na mambo mengine. Mjipange au mtoke humo ofisini. na mnavyojiona Miungu watu sasa.
Naupenda sana Mfumo wa NEST (National E-procurement System) wana kitengo cha msaada na mnafanya wote online na mnapata suluhu mara moja, yaani UTUMISHI wanashindwa hata na Customer care wa TANESCO? Mfumo gani ambao hauna msaada? huu ni mwanya wa kukaribisha rushwa na mambo mengine. Mjipange au mtoke humo ofisini. na mnavyojiona Miungu watu sasa.