KERO Huu mfumo wa Employee Self Service wa Utumishi haufanyi kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wiki mbili hizi Mfumo wa PEPMIS unafunguka kwa taabu sana hata kukiwa na Internet ya kutosha.
Wiki hii yote najaribu kuufungua bila mafanikio.

Wadau mnaohusika na huo mfumo wa wafanyakazi kujaza activities zao mtuambie tunafanyaje sasa ?
Cc utumishi
 
Tatizo waliooanzisha huu mfumo waliwaza zaidi katika kukomoa watumishi wa umma badala ya kuwasaidia.
Huu mfumo umeundwa kwa urasimu mkubwa mno mpaka kero.
Nadhani wamesikia.
Wale walio upigia chapuo waje watueleze, tunafanyaje sasa.
Na mimi ndio Niko Dar na nina access ya internet 24/7.
Vipi Mwalimu wa UPE wa huko Namatuhi, kata ya Mpitimbi.
 
Wiki mbili hizi Mfumo wa PEPMIS unafunguka kwa taabu sana hata kukiwa na Internet ya kutosha.
Wiki hii yote najaribu kuufungua bila mafanikio.

Wadau mnaohusika na huo mfumo wa wafanyakazi kujaza activities zao mtuambie tunafanyaje sasa ?
Cc utumishi
Umeangalia mtandao wako?
Mbona mfumo hauna tatizo..
Sehemu gani unayoshindwa?
 
Umeangalia mtandao wako?
Mbona mfumo hauna tatizo..
Sehemu gani unayoshindwa?
Mtandao wangu uko vizuri.

Sio kama pale awali, kwa sasa mfumo unafunguka kwa taabu sana.

Na hasa siku ya Alhamis, siku ambayo watumishi wengi wanaingia kujaza sub activities zao.

Hebu jaribu kuingia leo mchana uone jinsi unavyo funguka kwa shida.
Inavyo onekana kadri watumishi wanavyojiunga ndivyo mfumo unavyozidiwa nguvu.
 
Mtandao wangu uko vizuri.

Sio kama pale awali, kwa sasa mfumo unafunguka kwa taabu sana.

Na hasa siku ya Alhamis, siku ambayo watumishi wengi wanaingia kujaza sub activities zao.

Hebu jaribu kuingia leo mchana uone jinsi unavyo funguka kwa shida.
Inavyo onekana kadri watumishi wanavyojiunga ndivyo mfumo unavyozidiwa nguvu.
Mbna nimeingia na kutoka na hakuna shida yeyeto jaribu kuclear Cache kwenye browser yako..
Na urefresh System..

Hakuna tatizo lolote kwenye mfumo la mtandao
 
Back
Top Bottom