Changamoto uhamisho kupitia mfumo wa Utumishi Portal wizara sikieni kilio chetu

Ntemii

JF-Expert Member
May 25, 2022
290
525
Habari wakuu

Tangu kuanza kwa mfumo wa utumishi portal,ambao umekua na lengo kuu la kupunguza paper work na kupunguza urasimu katika shughuli mbalimbali ikiwepo uhamisho wa watumishi.

Pamoja na mafanikio yake Mfumo huu umekua na changamoto sana hasa suala la mchakato mzima wa kupata uhamisho kwa njia ya kubadilishana(transfer exchange) kati ya watumishi.

Mfumo huu unahitaji watumishi/mtumishi kuweza kutengeneza request ambapo mtumishi mwenzake hupata hiyo request kupitia incoming exchange request ili aweze ku accept na kuanza mchakato wa maombi ya uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi.

Shida kubwa na changamoto ni ambapo inakua ngumu sana kwa mtumishi kupata na kuona incoming request ya mtumishi mwenzake anayehitaji kubadilishana naye,ambapo ni nadra sana kuona incoming request na hata akiweza kuona basi ataona asizo hitaji,kwamfano mtu wa idara ya afya atapokea incoming request za idara ya elimu.

Nimejaribu mara nyingi kuwasiliana na huduma kwa wateja kuhusu changamoto hii wakashauri kuendelea ku reload mtandao ili kupata hizo incoming request,kwasasa na zaidi ya mwezi na refresh page bila mafaniko yoyote

Changamoto hii ya kimfumo imekua kikwazo kikubwa sana ili kufanikisha maombi ya uhamisho kwa watumishi ambalo ni haki ya mtumishi,hivyo tunaomba wizara iweze kushughulikia kero hii ya kimfumo.

Tunaomba msaada katika hili.

IMG_4546.jpg
 
Habari wakuu

Tangu kuanza kwa mfumo wa utumishi portal,ambao umekua na lengo kuu la kupunguza paper work na kupunguza urasimu katika shughuli mbalimbali ikiwepo uhamisho wa watumishi.

Pamoja na mafanikio yake Mfumo huu umekua na changamoto sana hasa suala la mchakato mzima wa kupata uhamisho kwa njia ya kubadilishana(transfer exchange) kati ya watumishi.

Mfumo huu unahitaji watumishi/mtumishi kuweza kutengeneza request ambapo mtumishi mwenzake hupata hiyo request kupitia incoming exchange request ili aweze ku accept na kuanza mchakato wa maombi ya uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi.

Shida kubwa na changamoto ni ambapo inakua ngumu sana kwa mtumishi kupata na kuona incoming request ya mtumishi mwenzake anayehitaji kubadilishana naye,ambapo ni nadra sana kuona incoming request na hata akiweza kuona basi ataona asizo hitaji,kwamfano mtu wa idara ya afya atapokea incoming request za idara ya elimu.

Nimejaribu mara nyingi kuwasiliana na huduma kwa wateja kuhusu changamoto hii wakashauri kuendelea ku reload mtandao ili kupata hizo incoming request,kwasasa na zaidi ya mwezi na refresh page bila mafaniko yoyote

Changamoto hii ya kimfumo imekua kikwazo kikubwa sana ili kufanikisha maombi ya uhamisho kwa watumishi ambalo ni haki ya mtumishi,hivyo tunaomba wizara iweze kushughulikia kero hii ya kimfumo.

Tunaomba msaada katika hili.

View attachment 2841731kuchakata uhamisho kupitia mfumo wa ESS,ni utaratibu mzuri endapo mamlaka husika,itakuwa inatatua çhangamoto mbalimbali kwa wakati
Kwa kuwa mfumo umeanzishwa ila kurahisisha uhamisho kupatikana bila urasimu na kwa mda mfupi,basi iwe hivyo, utumishi waseme mpaka sasa watu wangapi wamefanikiwa kuhama kupitia utaratibu huu mzuri na mpya
Pia zile namba walizoweka za customer care,basi wawe wanapokea na email ziwe zinajibiwa,vinginevyo utaratibu huu utakuwa KERO kubwa kwa watumishi
 
Back
Top Bottom