Huu hapa mchongo wa kufanya kwa kijana apate hela ya kula

Huu mchongo ni kwayule kijana ambaye amepinda na maisha ya mtaani.

Kuna michongo mingi ya kufanya ili "kusogeza siku" huku ukisubiri inshu ya maana.
Huu ni mmoja wapo.

KUGONGA KOKOTO.

KUGONGA KOKOTO ndoo moja ni 200, kwahiyo ukikomaa kwa siku wastani unaweza kugonga ndoo 30.

200 × 30 = 6000 ambayo ni hela inatosha kwa matumizi kidogo ya kusogeza siku kwa kijana aliyepinda.
Fanya hii kazi huku ukisubiri michongo ya maana.

Au basi! Msije kusema natukana!
 
Kwa hiyo na Wateja wapo standby ama? Maana nyie Motivational Speakers mna mambo sana.
 
Huu mchongo ni kwayule kijana ambaye amepinda na maisha ya mtaani.

Kuna michongo mingi ya kufanya ili "kusogeza siku" huku ukisubiri inshu ya maana.
Huu ni mmoja wapo.

KUGONGA KOKOTO.

KUGONGA KOKOTO ndoo moja ni 200, kwahiyo ukikomaa kwa siku wastani unaweza kugonga ndoo 30.

200 × 30 = 6000 ambayo ni hela inatosha kwa matumizi kidogo ya kusogeza siku kwa kijana aliyepinda.
Fanya hii kazi huku ukisubiri michongo ya maana.
Kipindi anasubiria Mchongo mwingine utiki arafuatiakiaje ilihali na yeye anatakiwa awepo machombo ya komoto?

6000 per day Bora akapige debe stand 200/bus akipoga gari 70sio mbaya
 
Huu mchongo ni kwayule kijana ambaye amepinda na maisha ya mtaani.

Kuna michongo mingi ya kufanya ili "kusogeza siku" huku ukisubiri inshu ya maana.

Huu ni mmoja wapo.

KUGONGA KOKOTO.

KUGONGA KOKOTO ndoo moja ni 200, kwahiyo ukikomaa kwa siku wastani unaweza kugonga ndoo 30.

200 × 30 = 6000 ambayo ni hela inatosha kwa matumizi kidogo ya kusogeza siku kwa kijana aliyepinda.

Fanya hii kazi huku ukisubiri michongo ya maana.
Duuuh!
Hii ni utumwa tosha🤔.. aisee!
Umesema kuna michongo mingi sa mbona unaleta huu wa kuwatoa madogo kafara🙄
 
Kwenye 3000 inayobaki toa 1000 ya maziwa fresh kila jioni na 500 ya kununua dawa ya kutuliza maumivu ya kichwa kila jioni.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Maziwa ya fresh ni anasa..

Hiyo buku Bora ununue big G, ili utafune na uonekane na tabasamu baada ya KaZI ngumu.

Cuz BILA big G hutakuwa na tabasamu na utasingiziwa kuwa ni kibaka, na utakufa vibaya BILA ya kuonja mema...na utakosa pia wale bikra 70
 
Back
Top Bottom