Mmanyanigho
Senior Member
- May 18, 2018
- 186
- 326
Wakuu bila shaka mu wazima wa afya.
Baada ya hustle za hapa na pale, kuandika nyuzi kadhaa humu na reply kedekede nikitafuta kazi hatimae nilipata, japo sio kutoka humu ni connection tu ya jamaa yangu niliesoma nae.
Hii kazi nina miezi nayo 4 mpaka sasa, mshahara wake kiukweli sio mkubwa hasa kwa matumizi ya jiji hili.
Nalipwa 250k kwa mwezi, na kazini natumia muda mrefu kidogo japo speed yangu ndo itaamua nitoke saa ngapi kazini.
Sasa kutokana na hilo, kijana wenu nimekuja kuomba ushauri, nasaha, connection, michongo ambayo ninaweza kuifanya baada ya kazi.
Naomba mnisaidie kimawazo wakuu, kuna muda unawaza mambo mengi akili inastac, unajikuata huwazi kitu sasa upo upo tu unaexist ila huishi.
Natanguliza shukrani.
Kama taarifa haijitoshelizi basi nipo kuwajibu.
Baada ya hustle za hapa na pale, kuandika nyuzi kadhaa humu na reply kedekede nikitafuta kazi hatimae nilipata, japo sio kutoka humu ni connection tu ya jamaa yangu niliesoma nae.
Hii kazi nina miezi nayo 4 mpaka sasa, mshahara wake kiukweli sio mkubwa hasa kwa matumizi ya jiji hili.
Nalipwa 250k kwa mwezi, na kazini natumia muda mrefu kidogo japo speed yangu ndo itaamua nitoke saa ngapi kazini.
Sasa kutokana na hilo, kijana wenu nimekuja kuomba ushauri, nasaha, connection, michongo ambayo ninaweza kuifanya baada ya kazi.
Naomba mnisaidie kimawazo wakuu, kuna muda unawaza mambo mengi akili inastac, unajikuata huwazi kitu sasa upo upo tu unaexist ila huishi.
Natanguliza shukrani.
Kama taarifa haijitoshelizi basi nipo kuwajibu.