jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 260
- 490
Habari wakuu! Niliwahi kuandika hapa kuhusu biashara ya alizeti na mafuta yake!
Kwa mwaka huu kama unataka kufanya biashara fanya hii na itakulipa! Mafuta yameshuka Sana bei Hadi kufikia 48000 Kwa dumu la litre 20. So hapa uhakika wa kupata double profits Kwa mwaka huu upo.
Mm mwaka huu sina pesa tu ningenunua but mtaji nilikula so Kwa anaetaka aweke mchongo apate Hela!
NB: Sifanyi kazi ya udalali ingia mzigoni mwenyewe
Kwa mwaka huu kama unataka kufanya biashara fanya hii na itakulipa! Mafuta yameshuka Sana bei Hadi kufikia 48000 Kwa dumu la litre 20. So hapa uhakika wa kupata double profits Kwa mwaka huu upo.
Mm mwaka huu sina pesa tu ningenunua but mtaji nilikula so Kwa anaetaka aweke mchongo apate Hela!
NB: Sifanyi kazi ya udalali ingia mzigoni mwenyewe