Hussein Tuwa vs Eric Shigongo (Riwaya)

Hussein Tuwa vs Eric Shigongo (Riwaya)

Chezea mkimbizi weye....hivi novel za huyu jamaa zinapatikana kweli??
 
yani Hussein Tuwa ni mkalii alinifanya niache kusoma hadithi za shigongo.
Soma Mkimbizi, Mtuhumiwa na utata yani ni noma jamaa anajua sana sana.
Hivi willy Gamba aliishia wapi??
aristabus elvis musiba mwandishi wa riwaya za willy gamba alishakufa.
 
sijawahi kusoma za Tuwa, lakini nilisoma Shigongo - Rais anampenda mke wangu- mwisho wa siku niliboreka nikakiachilia mbali huku mwanzo aliaanza vizuri lakini hapo katikati akatoka kwenye mtiririko kama wanavyosema watu hafanyi utafiti.

zitafuta riwaya zake,utakuja kusimulia humu!!
 
HUSSEIN TUWA mkali na ana kiwango cha akina BEKA MFAUME mfalme mwingine wa riwaya za Tanzania,je vitabu vyao vinapatikana wapi?at least tujikumbushe tena
 
HUSSEIN TUWA mkali na ana kiwango cha akina BEKA MFAUME mfalme mwingine wa riwaya za Tanzania,je vitabu vyao vinapatikana wapi?at least tujikumbushe tena

Code:
[TABLE]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Title
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Mfadhili
[URL="http://www.google.co.uk/search?tbo=p&tbm=bks&q=bibliogroup:%22Fasihi+ya+Kiswahili%22&source=gbs_metadata_r&cad=4"][I]Fasihi ya Kiswahili[/I][/URL]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Author
[/TD]
[TD="class: metadata_value"][URL="http://www.google.co.uk/search?tbo=p&tbm=bks&q=inauthor:%22Hussein+Issa+Tuwa%22&source=gbs_metadata_r&cad=4"]Hussein Issa Tuwa[/URL]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Publisher
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Macmillan Aidan, 2007
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Original from
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Indiana University
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Digitized
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]20 Jun 2011
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]ISBN
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]9987371078, 9789987371075
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Length
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]148 pages
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ukiona Publisher kama Macmillan Aidan na University dizaini ya Indiana na tarakimu za ISBN basi ujue mwandishi/mtunzi ni kiboko sijui Shigogo kweli ataweza kujiumbua kwa wachapichaji wa kimataifa kwa kazi zake za copy + paste toka sinema, drama na novel za Kizungu na kupachika majina ya Gamboshi, Dagopa, Nyambogo, Manienga, Ushirombo, Kifizi, Malampaka n.k kuzifanya kama ni za ki-Tanzania zaidi na kuwa ametunga yeye.
 
Code:
[TABLE]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Title
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Mfadhili
[URL="http://www.google.co.uk/search?

tbo=p&tbm=bks&q=bibliogroup:%22Fasihi+ya+Kiswahili%22&source=gbs_metadata_r&cad=4"][I]Fasihi ya Kiswahili[/I][/URL]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Author
[/TD]
[TD="class: metadata_value"][URL="http://www.google.co.uk/search?tbo=p&tbm=bks&q=inauthor:%22Hussein+Issa+Tuwa%22&source=gbs_metadata_r&cad=4"]Hussein Issa Tuwa[/URL]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Publisher
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Macmillan Aidan, 2007
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Original from
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]Indiana University
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Digitized
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]20 Jun 2011
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]ISBN
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]9987371078, 9789987371075
[/TD]
[/TR]
[TR="class: metadata_row"]
[TD="class: metadata_label"]Length
[/TD]
[TD="class: metadata_value"]148 pages
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ukiona Publisher kama Macmillan Aidan na University dizaini ya Indiana na tarakimu za ISBN basi ujue mwandishi/mtunzi ni kiboko sijui Shigogo kweli ataweza kujiumbua kwa wachapichaji wa kimataifa kwa kazi zake za copy + paste toka sinema, drama na novel za Kizungu na kupachika majina ya Gamboshi, Dagopa, Nyambogo, Manienga, Ushirombo, Kifizi, Malampaka n.k kuzifanya kama ni za ki-Tanzania zaidi na kuwa ametunga yeye.

nafikiri badala ya kusema kwamba jamaaa anakopy na kupaste ni vema na haki kama utatuonesha at least stori moja au mbili kwamba hii story Eric amecopy stori fulani ya fulani au amecopy sinema fulani na ile nyingine amecopy drama fulani. Hapo tutaweza jua kwamba Shigongo kumbe anacopy kuliko kusema tu bila kuwa na uhakika wowote.
 
majungu yasipewe nafasi na yakemewe sana. Kuna baadhi ya watanzania wamejaliwa majungu,pinga majungu lakini wao wanakunja noti.
 
Kusema kweli sipendi story za shigongo nasoma vitabu vyake kwa kuwa tu napenda kusoma novels.
Hussein tuwa anaandika si mchezo yuko juu tena kwa sana.
 
nafikiri badala ya kusema kwamba jamaaa anakopy na kupaste ni vema na haki kama utatuonesha at least stori moja au mbili kwamba hii story eric amecopy stori fulani ya fulani au amecopy sinema fulani na ile nyingine amecopy drama fulani. Hapo tutaweza jua kwamba shigongo kumbe anacopy kuliko kusema tu bila kuwa na uhakika wowote.
umeonaa enhee. Halafu story zake ndo izo kwa izo ena zimekaaga km za kihindi hindi uongo na utoto mwingi
 
naona hujamsoma hussen tuwa mkuu huyu jamaa ni noma sijui yuko wapi
km msomaji wa novel za kisw lazima tuwa umjue. Huyo yeye atakua anasoma story za shigongo kwenye magazeti yake ya udaku.
 
hussein tuwa mkali na ana kiwango cha akina beka mfaume mfalme mwingine wa riwaya za tanzania,je vitabu vyao vinapatikana wapi?at least tujikumbushe tena
mkuu naomba usome na vitabu vya shafi adam, mtunzi mtanzania anaeishi america. Huyu jamaa is my no 1. Yeye story zange ni zile za kihistoria na kiswahili chake anachotumia ni safi sana. Vitabu kama kuli, haini, vuta nkuvute si mchezo mimi vyote nnavyo na ni vya zamani sana.
 
mkuu naomba usome na vitabu vya shafi adam, mtunzi mtanzania anaeishi america. Huyu jamaa is my no 1. Yeye story zange ni zile za kihistoria na kiswahili chake anachotumia ni safi sana. Vitabu kama kuli, haini, vuta nkuvute si mchezo mimi vyote nnavyo na ni vya zamani sana.
Ni mtunzi vizuri vitabu vyake ni vizuri kwa ajili ya wanafunzi kutokana na lugha nzuri anayotumia lakini Hussein Tuwa riwaya zake zina matukio na msisimko wa aina yake aisee
 
Uliyeleta huu uzi nadhani umepata jibu omba tu mods waufunge.TUWA ni mashine nyingine unasoma hadithi unasisimka na unafeel kwamba unasoma kitu,Shigongo anatafsiri kama ilivyowazi na wengi ambayo hawajawahi kumsoma Tuwa lazima waseme Shigongo zaidi.
 
Shigongo ni mzuri,ila Husseni Tuwa yuko juu zaidi.!

Kunfananisha Hussein Issa Tuwa na Shigongo aisee ni kumshushia hadhi Tuwa.
Tuwa mfananishe na Benny Mtobwa(RIP) au Elvis Musiba(RIP).
Tuwa anatisha.

Mi namkubali sana TUWA, nimesoma riwaya zake mbili tu ya MKIMBIZI na UTATA, aiseee jamaa anatisha kiukweli!

tuwa ndo noma, hadithi zake zina msisimko jamaa anajua sana

Story za shigongo ndefu na zinachosha
makali ni tuwa hata sultan tamba,story zake zina msisimko sana

sijawahi kusoma za Tuwa, lakini nilisoma Shigongo - Rais anampenda mke wangu- mwisho wa siku niliboreka nikakiachilia mbali huku mwanzo aliaanza vizuri lakini hapo katikati akatoka kwenye mtiririko kama wanavyosema watu hafanyi utafiti.

Chezea mkimbizi weye....hivi novel za huyu jamaa zinapatikana kweli??

HUSSEIN TUWA mkali na ana kiwango cha akina BEKA MFAUME mfalme mwingine wa riwaya za Tanzania,je vitabu vyao vinapatikana wapi?at least tujikumbushe tena

Kusema kweli sipendi story za shigongo nasoma vitabu vyake kwa kuwa tu napenda kusoma novels.
Hussein tuwa anaandika si mchezo yuko juu tena kwa sana.

km msomaji wa novel za kisw lazima tuwa umjue. Huyo yeye atakua anasoma story za shigongo kwenye magazeti yake ya udaku.

Labda Shigongo tumtafutie mdau mwenzake wa udaku,hapa ameshashindwa vibaya.
 
yani Hussein Tuwa ni mkalii alinifanya niache kusoma hadithi za shigongo.
Soma Mkimbizi, Mtuhumiwa na utata yani ni noma jamaa anajua sana sana.
Hivi willy Gamba aliishia wapi??

Willy Gamba hakuwa mwandishi ila ni character aliekuwa crearna mwandishi Elvis Musiba, kama vile James Bond alivyo character wa Ian Fleming, nimetumia mfano wa James bond as huwa naona Willy gamba ni copy paste ya James bond
 
Shigongo namfananisha na bongo movie, kazi nyingiiiiiii ubora hakuna, Hussein Tuwa ni namba nyingine kabisa, angekuwa anaandika in English ningeweza kumfananisha na Robert Ludlum or Tom Clancy,
 
KAKA mbona exageration nyingi sana,tuwa ni mwandishi mzuri ila kuna kitabu kama mdunguaji ukiitafuta movie ya sniper reloaded sijui nani kamuibia mwenzake
 
KAKA mbona exageration nyingi sana,tuwa ni mwandishi mzuri ila kuna kitabu kama mdunguaji ukiitafuta movie ya sniper reloaded sijui nani kamuibia mwenzake

Unalosema ni kweli story ya mdunguaji na sniper reloaded zinashabihiana nadhani idea ya kuandika story aliitoa kwenye hiyo movie lakini kuna vingi vinavyotofautiana, kuanzia mission waliyokuwa nayo, jamaa alivyoanguka mtoni na kupotea ikajulikana kafa, na mengi yalijiri mpaka jamaa analejea dsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom