sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahaha! Lawyer sikujua kumbe we muoga hivyo, daaah umepinda ati!Mkuu hilo jimama unaweza ukapiga raundi sita na still likakuuliza "mbona unanichelewesha? fanya uanze dozi bana nataka niwahi salon"
Mimi jimama kama ilo likiniuliza hali najifanya skuzaliwa tanzania na sielewi kabisa iyo lugha anayoongea.
Skubali kufa kizembe