Husninyo akiwa na............

Mkuu hilo jimama unaweza ukapiga raundi sita na still likakuuliza "mbona unanichelewesha? fanya uanze dozi bana nataka niwahi salon"

Mimi jimama kama ilo likiniuliza hali najifanya skuzaliwa tanzania na sielewi kabisa iyo lugha anayoongea.
Skubali kufa kizembe
Hahaha! Lawyer sikujua kumbe we muoga hivyo, daaah umepinda ati!
 
shem unaona majungu ya katavi? Sheria inasemaje hapa?



Yaani mi mwenyewe nilipigwa na butwaa, kipotabo kama wewe anachafua CV yako mbele ya mods.
Nawahi sehem lakini nikirejea tutalijadili hili kwa kina kabisa ofisini. Ukuje ofisini na nguo nyepes nyepes zinazoonesha ndani, ofisi yangu haina AC.
Asante shem
 
hehehe hilo jimama linaweza likakutoa flu za maskio aisee. Acha niendelee kukamua na vizee tu, ukipiga kabao kako kamoja unakaskia kazee " bwaaaana usifiweee"
Hahaahaaaaa duh hapo utakuwa ni match ya upande mmoja....komaa na hicho kitu ushike adabu
 
Yaani mi mwenyewe nilipigwa na butwaa, kipotabo kama wewe anachafua CV yako mbele ya mods.
Nawahi sehem lakini nikirejea tutalijadili hili kwa kina kabisa ofisini. Ukuje ofisini na nguo nyepes nyepes zinazoonesha ndani, ofisi yangu haina AC.
Asante shem

hehehe! Lawyer nishakuja. Cv imechafuliwa sana. Nikiona sipati pms za vidume nitajua ni gundu la katavi hili. Lol.
 
Yaani mi mwenyewe nilipigwa na butwaa, kipotabo kama wewe anachafua CV yako mbele ya mods.
Nawahi sehem lakini nikirejea tutalijadili hili kwa kina kabisa ofisini. Ukuje ofisini na nguo nyepes nyepes zinazoonesha ndani, ofisi yangu haina AC.
Asante shem

Mweh!! Utamkimbia akija ofisini, acha kabisa dirisha wazi ili kama mlango utazuiwa utokee hapo!
 
hehehe! Lawyer nishakuja. Cv imechafuliwa sana. Nikiona sipati pms za vidume nitajua ni gundu la katavi hili. Lol.

Niombe radhi tafadhali, mimi nakusafishia cv....utaona pm zinavyomwagika kuanzia leo usiku, jiandae!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom